Habari wana Jamii Forum,
Nauza Bajaji aina ya TVS KING yenye usajili namba T....CAP kwa Tshs 3,100,000 tu! Nime renew Bima mwezi huu na Sumatra pia imelipiwa.
For serious buyers tuwasiliane kwa namba 0717171790.
Mkuu imepiga mzigo kwa muda gani? Unauza kwasababu zipi? Then ni TVS au KING
Acheni uzuzu nyie wanunuzi. We unaona kazi gani kwenda dukani kuchukua mpya. Kununua chazamani ni saw na kununua matatizoambayo mwingine anayakimbia. Fikifieni kununua bajaji mpya ili uwe huru kwa muda fulani katika biashara.
Vidude vinaibiwa hivo balaa! Hivi karibuni nitawaletea mkasa wangu kuibiwa TVS KING T671BZY ngoja shauri liishe mahakamani.
Siku hizi hizo ni dili vijiweni zinaibiwa sana
Bado ipo?...au wadau washaichukuaHabari wana Jamii Forum,
Nauza Bajaji aina ya TVS KING yenye usajili namba T....CAP kwa Tshs 3,100,000 tu! Nime renew Bima mwezi huu na Sumatra pia imelipiwa.
For serious buyers tuwasiliane kwa namba 0717171790.
Bado ipo?...au wadau washaichukua
Mkuu unakaribishwa Bajaji ipo.
Hesabu zinakaaje kaka...yaani shilingi ngapi natakiww nipate kwa wiki
Mkuu hebu niambie haina tatizo lolote linalosumbua? Je kuifanyia majaribio na fundi wangu ni ruksa?