Bajaj za MO ni kizaazaa

Bajaj za MO ni kizaazaa

cenzo

Senior Member
Joined
May 7, 2015
Posts
124
Reaction score
28
Habari za leo wandugu wa JF
Leo ningependa tujadili bajaj za Mohamed interprisess

Kwa kweli mimi nampenda sana huyu jamaa Mohamed interprisess kwani kampuni yake haina ubaguzi hata chembe

Yani huyu jamaa kaajili watu tofauti Bila kujali kabila zao wala dini zao tofauti na yule mwingine anaependa watu wa asili ya kwao kisiwani

Ila sasa hebu tujadili kuhusu zile bajaj zake au sijui tuziiteje gari au pikipiki zile za miguu mitatu

Kwakweli zile vitu zina shida sana zipitapo mitaani kwani zina kelele ya ajabu utasema mashine za kusaga nafaka

La pili ni lile bomba lake la kutoa moshi jinsi lilivyoelekezewa chini yani zikipita kwenye hizi barabara zetu utaona vumbi kali sana linatoka

Nina hakika zile vitu hazikutengenezwa kwa kiwango cha kuzingatia barabara zetu zilizojaa vumbi

Mwenye uwelewa zaidi au kukumbana na kizaazaa cha kupishana na zile bajaj aongezee hapa chini
 
Zile Bajaj- Gari ni.khero mnoo,yani kama Jenereta la Mreno.

Huku posta zikipit kila mtu anaziba maskio.

Zile ni uchafu.kuliko uliopo dampo la Pugu.


Note:-
.bhakhresa hajabagua mtu,kila kazi ina watu wa asili flani,mbona ukienda kwenye mabucha unakuta watu toka pande flani za nchi,Jeshi nalo ni pande flani,madaktari etc..inategemea na na nani kaomba kazi wapi!

Wamasai kibao wanasuk rasta wadada zetu kwenye saluni za mwenge,Mbona hulalamiki hiyo ajira ya saluni.ni ya upendeleo kwa Wamasai?
Wakongo wapo saluni za kike na wanajichubua mda wote,je unaweza ukachukua mwanaume wa Kikurya akae pahala afanyie mtu masaji!


Hoja ya ubaguzi ni dhaifu!
 
Maneno yako hayana mashiko wewe umefanya nini kabla ya kuwakosoa wenzio?
 
kwani MO ana assemble bajaji? si tungeshukuru jamani pengine na sisi tutapata kitu cha kuexport hata hapo burundi tu tuongeze thamani ye shilingi..hahahaha.
 
Zile Bajaj- Gari ni.khero mnoo,yani kama Jenereta la Mreno.

Huku posta zikipit kila mtu anaziba maskio.

Zile ni uchafu.kuliko uliopo dampo la Pugu.


Note:-
.bhakhresa hajabagua mtu,kila kazi ina watu wa asili flani,mbona ukienda kwenye mabucha unakuta watu toka pande flani za nchi,Jeshi nalo ni pande flani,madaktari etc..inategemea na na nani kaomba kazi wapi!

Wamasai kibao wanasuk rasta wadada zetu kwenye saluni za mwenge,Mbona hulalamiki hiyo ajira ya saluni.ni ya upendeleo kwa Wamasai?
Wakongo wapo saluni za kike na wanajichubua mda wote,je unaweza ukachukua mwanaume wa Kikurya akae pahala afanyie mtu masaji!


Hoja ya ubaguzi ni dhaifu!

Mifano yako pia ni dhaif mkuu.
 
Mifano haina kichwa wala miguu mambo ya kampuni unafananisha na masuka nywele na wauza nyama basi umewasahu na wachoma nyama pia na inshu ni hizo bajaj za MO lakini kwakuwa wewe ni wale wale wa kutoka visiwani ishakuuma ngoja wengine waje wale waliokuwa wavuvi wa huko ulipotoka
 
Mi huwa najiuliza nini nilikuwa lengo la kununua zile bajaza.si bora angenunua canter tu maana kwa bei naoza zaweza kuwa sawa.

Speed hazina.
Kerere ndio usiseme.
Moshi kama gusi.
 
Ni kweli kabisa zina kelele na moshi sana pia zinatimua vumbi sana , cha msingi abadilishe sehemu(parts) zenye kero!
 
wale madereva inabidi wavae headphone kama za mapilot vinginevyo maskio yao kwishnei
 
Back
Top Bottom