Wana JF tunatoa bajaj na piki piki kwa mkopo wa miaka miwili na kuendelea.
Kwa muajiriwa anaetaka hizo mkopo
1. Awe na kitambulisho cha kupiga kura na ya sehemu anayofanya kazi
2. Barua kutoka kwa muajiri wake kuonesha anafanya kazi sehemu husika
3. Barua ya serikali ya Mtaa
4. Na deposit ya kiasi flani tutakayoelewana
N.K kama na TIN number itakuwa vizuri kuleta
Kwa mfanyabiashara
1. Lesini za biashara anayoifanya
2. Kitambulisho
3. Barua ya serikali ya Mtaa
4. TIN number
5. Deposit ya kuanzia
Kwa yeyote anaehitaji ani PM kwa maelezo zaidi.
Kwa muajiriwa anaetaka hizo mkopo
1. Awe na kitambulisho cha kupiga kura na ya sehemu anayofanya kazi
2. Barua kutoka kwa muajiri wake kuonesha anafanya kazi sehemu husika
3. Barua ya serikali ya Mtaa
4. Na deposit ya kiasi flani tutakayoelewana
N.K kama na TIN number itakuwa vizuri kuleta
Kwa mfanyabiashara
1. Lesini za biashara anayoifanya
2. Kitambulisho
3. Barua ya serikali ya Mtaa
4. TIN number
5. Deposit ya kuanzia
Kwa yeyote anaehitaji ani PM kwa maelezo zaidi.