Baiskeli zenye injini ........!!!

Baiskeli zenye injini ........!!!

Fundifundisho

Member
Joined
Jan 11, 2011
Posts
77
Reaction score
18
Kuna baiskeli nimewahi kuiona sehemu flani inakuwa na injini kama pikipiki ingawa unaweza kuendesha kama baiskeli..
Naomba kwa mwenye uelewa juu ya baiskeli hizo anijuze kama ni imara na pia upatikanaji wake kwa Mwanza,
pia bei zake.
natanguliza shukrani...!
 
Nakumbuka niliona hao jamaa wanaozifunga walikuwa wanafanya kwa 200,000 baskel unakuja nayo mteja.
 
Nakumbuka niliona hao jamaa wanaozifunga walikuwa wanafanya kwa 200,000 baskel unakuja nayo mteja.

Ukweli ndio huo, wao wanauza engine system tu ila Baiskel unayotaka ifungwe ni yoyote ile ambayo unayo au utayopenda kununua.
 
hayo ni majanga utapoteza pesa yako. Ni usumbufu sana hivyo viinjini vyake
 
Kama walivyokwisha kwambia wadu hapo juu, kinachofanyika ni kufunga engine kwenye baiskeli. Lakini ufanisi wa hiyo engine ni mdogo kupita maelezo sababu ni ka engine kadogo sana na ni chinise made.

Kwa bei ya laki 2 hatukushauri kununua huo upuuzi, bora nunua mountain bike nzuri itakusaidia


Kuna baiskeli nimewahi kuiona sehemu flani inakuwa na injini kama pikipiki ingawa unaweza kuendesha kama baiskeli..
Naomba kwa mwenye uelewa juu ya baiskeli hizo anijuze kama ni imara na pia upatikanaji wake kwa Mwanza,
pia bei zake.
natanguliza shukrani...!
 
017.JPG
 
Back
Top Bottom