Mie nakumbuka baiskeli za CHANG SHAN.
Kiwanda cha National Bicycles Company NABICO) chini ya NDC kilikuwa hapa Mwenge, hii issue ukiambiwa utasikitika sana, waliuziwa wahindi nao wakaanza kuleta spare na Baiskeli za Avon wakaanza kuuza pale hatimaye wakaanza kuuza zile nyumba zoote zilizokuwa za kiwanda baadaye biashara ya Baiskeli ikaishia hapo na SWALA zikafika mwisho. Leo ni kiwanda cha madawa cha Shellys.
Kiwanda cha National Bicycles Company NABICO) chini ya NDC kilikuwa hapa Mwenge, hii issue ukiambiwa utasikitika sana, waliuziwa wahindi nao wakaanza kuleta spare na Baiskeli za Avon wakaanza kuuza pale hatimaye wakaanza kuuza zile nyumba zoote zilizokuwa za kiwanda baadaye biashara ya Baiskeli ikaishia hapo na SWALA zikafika mwisho. Leo ni kiwanda cha madawa cha Shellys.
Mie nakumbuka baiskeli za CHANG SHAN.
Miaka ya 1990s, TANZANIA ilikuwa inazalisha baiskeli ambazo zilinunuliwa sana na watanzania. baada ya mda zilipotea kwenye soko. mwenye kumbukumbu atujulishe yafuatayo.
1. Kiwanda chake kilikuwa wapi?
2. Kiwanda kilifisika vipi wakati walikuwa wanauza? baba yangu mdogo aliinunua baiskeli ya swala, nimeitumia, usukani wake ulikuwa bomba sana.
3. Mkurugenzi wa mwisho wa kiwanda kile ni nani na yuko wapi?
4. kiwanda kilifunguliwa mwaka gani na kilifungwa mwaka gani.
kwa wenye majibu ya kiwanda hiki watujuze sie tuliozaliwa 1980s na hawa kizazi cha mabadiliko ya kisiasa 1990s
..itakuwa mafisadi walishagawana mtaji mapemaaa
Hii ndiyo Tanzania ya kubinafsisha kisha KUFISHA!!! Baiskeli yenye jina SWALA ilipotea kwa style ileile ya KANGA za MWATEX; mikate ya SIHA na unga wa NMC....Nikitaja vichache vilivyokuwa vinazalishwa na viwanda vyetu hapa nchini.
Wenyewe tunaita frame. Ina frame 2.Phoenix ilikuwa na mwamba mmoja na Swala zilikuwa na myamba miwili.
I mean kwenye Top chassis
Wenyewe tunaita frame. Ina frame 2.