Baisaa Ya Oman

Keyword .Oman. Nje ya mada hivi oman na dubai si zipo karibu kijiografia?
 
Banks Tele Unabadilisha, Wewe Upo Wapi?
Ngara , Zanka, Mtipweshi, Chitoholi Ama
 
Banks Tele Unabadilisha, Wewe Upo Wapi?
Ngara , Zanka, Mtipweshi, Chitoholi Ama
Nime enda exchange jana Kariako na bank ya Azania wamesema hawa exchange Baisaa sehem mbili wamekataaa ndio nashangaaa
 
Kwa uzoefu wangu, nibela ya Oman ndio Huwa inakubaliwa Burue de Change
 
Samahani wadau mimi na Baisa 100 ya Oman jee ni wapi naweza exchange Nime endaa badhi ya exchange za Tanzania zinakataa nafanya vipi 0688890887.View attachment 2745222
Hiyo hela kwa hapa bongo hawachukui hata uwe nazo kumi ambapo itakua sawa riali moja bado hawataki kiufupi hawachukui hivyo sent sent wanaanzia riali kamili
 
Baisa ni pesa ndogo sana,pesa ya OMAN inayobadilishika kirahisi ni rial,na ndio pesa yenye thamani,Rial 1=1000 baisa,maana yake wewe hapo una Rial 0.1 ambayo kwa pesa ya tanzania ni sawa na 650 tu,nani akubali kubadili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…