Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
wadau leo alfajiri nikiwa najipitia barabara ya arusha babati nimekuatana na kundi kubwa la pundamilia na mbele kidogo la nyumbu idd yangu imekuwa ya furaha sana.
samahani wadau nimerusha picha sasa siioni sijui nimechemka?
Mim bora nikusaidie kuweka hiyo picha uliowakuta hao Pundamilia Ringo Edmundsamahani wadau nimerusha picha sasa siioni sijui nimechemka?