CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,997
Chit Chat juuuuuuuuuuuuuu
Ukiwa unacomment unaitika Juu juuuuuu zaidiiiii kishaunatupia comment yako .
Mwenzenu mie tangu nimekuwapo katika hii dunia sijawahikubahatika kwenye BAHATI NASIBU wala PROMOTION.
Wakitangaza Promotion yoyote nimekuwa mstari wa mbelekujiunga, ukianza na promotion za simu mitandao yote, huwa natuma hizo nambarimf. Tuma NENO pesa kwenda namba 15251 natuma kama sina akili nzuri. Lakinisijawahi kupata WALAU HATA muda wa maongezi, naishia kukatwa 200/= 300/= zangu.
MAGAZETINI, Yaan hapa nilipo huwa Napata magazeti ya burekila siku, nakata kuponi natuma ila hata sijawahi kuingizwa kwenye droo .
VIZIBO VYA SODA NA BIA, Yaani huwa najitahidi kunywa sodawakati wa PROMOTION walau nipate soda ya bure ila HOLAAAA Vizibo vya bia huwanakusanya weee natuma TBL / SBL lakini HOLAAAAA!!!!
Ila sijakata tama, huwa sichoki kujaribu . Au huwainakuwaje wadau!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ukiwa unacomment unaitika Juu juuuuuu zaidiiiii kishaunatupia comment yako .
Mwenzenu mie tangu nimekuwapo katika hii dunia sijawahikubahatika kwenye BAHATI NASIBU wala PROMOTION.
Wakitangaza Promotion yoyote nimekuwa mstari wa mbelekujiunga, ukianza na promotion za simu mitandao yote, huwa natuma hizo nambarimf. Tuma NENO pesa kwenda namba 15251 natuma kama sina akili nzuri. Lakinisijawahi kupata WALAU HATA muda wa maongezi, naishia kukatwa 200/= 300/= zangu.
MAGAZETINI, Yaan hapa nilipo huwa Napata magazeti ya burekila siku, nakata kuponi natuma ila hata sijawahi kuingizwa kwenye droo .
VIZIBO VYA SODA NA BIA, Yaani huwa najitahidi kunywa sodawakati wa PROMOTION walau nipate soda ya bure ila HOLAAAA Vizibo vya bia huwanakusanya weee natuma TBL / SBL lakini HOLAAAAA!!!!
Ila sijakata tama, huwa sichoki kujaribu . Au huwainakuwaje wadau!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!