Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,694
Obviously ni ngoma akiugua malaria baba mtoto hawezi kufa even sukari haiwezi kuwa sababu ya kifo cha mtoto ngoma ndiyo ina mchezo huo cha kufanya wewe mtonye mwana mwambie atakufa siku siyo zake yaweza kuwa too late ila ndo hivyo.
Ngoma haipimwi kwa apperiance ya mtu au anaimbaje lile dude ni habari ingine.
Yaani kama Dan ni.mzima bas anatumia dawa na zimemkubali sana..!

!mie nachojua D alikua ana dalili nyingi za mafua..kwa Bahati mm bado mgeni