Baharia

Mkwaruzo

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2011
Posts
563
Reaction score
98
Utofauti wake wa mwendo ulimfanya baba ake amuulize...
baba: Mbona unatembea ivo kama unayumbayumba
baharia: Unajua baba, nimefanya kazi muda mrefu ktk meli na kule kuna mawimbi, kwaiyo kule siwezi kutembea sawa sawa, kwaiyo ndiyo nimeshazoea kutembea kama nipo kule
baba: Mbona mimi mama ako ninalala naye mwaka wa 35 na nikitembea sikati viuno??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…