Bagia. . .

Dr Lizzy

Platinum Member
Joined
May 25, 2009
Posts
31,010
Reaction score
60,472
Nani anapenda. . .nani hapendi?

Mi leo nimekula zilizowekwa mchicha kwa mara ya kwanza. . .Tamu mpaka raha, sema chai tu ndio ilikosekana.
 
Me napenda tena zenye pilipili halafu unashushia na pepsi
 
Nani anapenda. . .nani hapendi?

Mi leo nimekula zilizowekwa mchicha kwa mara ya kwanza. . .Tamu mpaka raha, sema chai tu ndio ilikosekana.

Lizzy mambo ? Na wewe kwa kupotea jamvini siku hizi !
Umekua nadra sana , mie nilikua nataka kujua hii bite hua inanichanganya hua ni Bagia au Bajia ?
 
zenye mchicha? Hizi ndo nazisikia kwako.... Kweli kuna mapishi mengi sana duniani........
 
Sizipendi na nikila hadi kichefuchefu...
 
Lizy unazungumzia bagia zipi?
Za Dengu?
Au za Kunde?
 
Ni badia, ila wengine wanaita bagia au bajia.
Izo huku kwetu ndo zinakorombezwa usipime, kuna zinotiwa mchicha, kotmiri, nanaa.
Kuna na zile za dangu zinatiwa mpk kuku na bilingani, mh! Utamu wake utajiramba
 
Nani anapenda. . .nani hapendi?

Mi leo nimekula zilizowekwa mchicha kwa mara ya kwanza. . .Tamu mpaka raha, sema chai tu ndio ilikosekana.
Nilikuwa Dar siku moja nikaagiza chips, na zenyewe zilikuja zikiambatana na mchicha!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…