Mimi mtu akishakuja kuniambia anaumiza kichwa kisa kufanya birthday yake huwa namuangalia tu...najua hapa yamna kitu kichwaniNa haka katabia ka kuchangiwa bdei kapo sana siku hizi..me usiniletee huo upuuzi wa michango ya kipumbavu
Ni ngumu kupata iliyokamilika...kila mtu anamapungufu yake.Ntapata nyingine yenyeakil papuchi nao ni kama soko huria ukiikatalia yako ntapata hata zanzibar or malawi kila siku papuchi zazaliwa kwa mamilioni nihangaikie moja jamani kuna papuchi ukiinunulia luku,sukari,unga, na kakilo ka nyama hadi majirani watakoma
Hao wanakununulia ili tu ushushe sketi, nia yao ni moja tu na wenye pesa zaoMbona wengine wananunua tu
Tized umenikumbusha mbali mkuu...statistics
r=-1
Kabisa mkuu lakini baadae huja kujutia. Huwa wanapewa kiburi na idadi ya wanaume wanaowatongoza wasijue kuwa it is temporal. Baada ya muda sisi wanaume huamia kwa kifaa kipya tukishapata tulichokitaka. Nimeshashuhudia wadada wazuri na wenye ekspozha zao nzuri tu wanaharibu maisha yao kwa tamaa za kipuuzi. Anakuwa na kaka mstaarabu tu mwenye kipato cha kawaida ila anamuona zuzu, anataka badboys ambao hawanaga future. Zuzu akichoka anamwaga anaoa mwingine, dada anabaki analia. Wanaume waoaji na wenye future ndio hao hao mnaowaona washamba. Playboys huwa hawaoi kirahisi. Trust me.Hao viumbe akili zao sometimes wanazijua wenyewe
Sio uoga Bali ni kuelimika.Wewe hata kusoma sana ni uoga pia
Madem hao bado unao? Atakuwa kakuona zwazwa sana. Hamna madem wenye tabia hizo sikuhiziJuzi nimetumiwa msg na bae eti nimuongezee hela anunue S9+. Ikabidi nichungulie inauzwa bei gani OMG 2.3m! Yaani 2,300,000! Over a $1000!
Nikafikiria huyu Bae anakaa nyumba ya kupanga, kodi vile vile nanchangia na inawezekana tunachangia wengi, kweli hana cha maana cha kufanyia hio 2.3m!
Nikafikiria haraka haraka nini unnaweza kufanya na 2.3m
1.Unaweza kununua kiwanja. Kuna kampuni zinauza viwanja vilivyopimwa 5000/sqm anaweza kupata 1000sqm kwa 5m(hii kampuni unaweza kulipa nusu halafu iliobaki kidogokidogo kwa miezi sita)
2.Unaweza kununua matofali 2300 ambayo yanamaliza nyumba ya vyumba vitatu au viwili.
3.Unnaweza kununua madirisha zaidi ya 7 ya aluminium ukamalizia nyumba yako
4.Unaweza kununua bodaboda ikakuingizia hata 20,000 kwa siku.
5.Huu ni mtaji tosha kwa biashara ya tigopesa etc
6.Unaweza kununua mabati 100 au zaidi
Kuna vitu kibao vya kufanyia hio hela kuliko kununua simu. Leo nimekamilisha uchunguzi wangu kwake hafai kuwa mke.
NB:Hii haihusu those who CAN AFFORD that phone.
Kabisa mkuu, hao wakiwaambia nataka gari wanapewa, nataka iPhone wanapewa huku kapanga nyumba ya laki tano kwa mwezi.Kabisa mkuu lakini baadae huja kujutia. Huwa wanapewa kiburi na idadi ya wanaume wanaowatongoza wasijue kuwa it is temporal. Baada ya muda sisi wanaume huamia kwa kifaa kipya tukishapata tulichokitaka. Nimeshashuhudia wadada wazuri na wenye ekspozha zao nzuri tu wanaharibu maisha yao kwa tamaa za kipuuzi. Anakuwa na kaka mstaarabu tu mwenye kipato cha kawaida ila anamuona zuzu, anataka badboys ambao hawanaga future. Zuzu akichoka anamwaga anaoa mwingine, dada anabaki analia. Wanaume waoaji na wenye future ndio hao hao mnaowaona washamba. Playboys huwa hawaoi kirahisi. Trust me.
Nimekuuliza kutokana na comment yako na sio kutokana na mada,acha kuhamisha magoli.Kwani mwanzisha mada ni mwanamke?
Wanawake wa aina hiyo wapo mm nilishaishi na mmoja kwa tamaa zake akacheat nikamuacha ssa hiv yupo yupo tu hana analiwa ovyo ovyo mwanamke asipokuwa na akili nywele za kichogoni zitaisha kwa kulalwa ovyo!Hahahaha kweli kaka. Kuna ex wangu mmoja alikuwa materialistic nikashindwana naye. Yeye alikuwa anapenda sana kula starehe. Ukimwambia twende shamba au site anasema "kwanini unahangaika kujenga mbali kote huko wakati unaweza kukodi nyumba mikocheni ya laki saba". Ukiwa naye barabarani akiona gari nzuri anapagawa kabisa. Anawaza furniture za milioni 15 wakati kipato chake hata milioni haifiki. Kalagabaho! nikamwaga kilaini. Akaja kuwa kama zulia, watoto wa mbwa wanajisevia tu. Kajichokea bure siku hizi.
Ndugu yangu wanaume wengi tumeshakutana na sampuli hii. Huwa inawadhuru sana wakigutuka inakuwa ntolee. Yaani yule mtoto alikuwa kama kichaa wa materialism. Anakwambia "nataka nihamie kwako na kibegi changu tu". Kaolewa na jamaa mario wanaishi kwenye nyumba ya urithi ya baba mkwe (baba wa mke). Na bado demu analiwa nje kila kona. Anatia huruma.Wanawake wa aina hiyo wapo mm nilishaishi na mmoja kwa tamaa zake akacheat nikamuacha ssa hiv yupo yupo tu hana analiwa ovyo ovyo mwanamke asipokuwa na akili nywele za kichogoni zitaisha kwa kulalwa ovyo!
Dah... Chief...mara nyingi mtu hupambana kutafuta vile vitu ambavyo hanaππππKuna vitu kibao vya kufanyia hio hela kuliko kununua simu. Leo nimekamilisha uchunguzi wangu kwake hafai kuwa mke.
Dah...ndiyo ambacho hana...πKwahio huyu anapambana apate hio simu?
Wenzio wanajengewa majumba wewe unalalamika simu poleeeeNingemwona mwehu mara 100.
Wee mtu upoo!!???
Shkamooo kama ikiwa umenisahau.