Nilifikiri labda ina TV ndani
Huyo mtoto alinishangaza jinsi alivyoitaja 2m kiurahisi.
Mimi sikupi hata mia, ila bili zote nalipa.
Kabla ya safari tunanunua unga na mchele wa kuacha nyumbani.






Ukisema twende tuitumie pamoja sawa, sasa 2m, chumba kwangu, bills zote kwangu, nauli, uki-sumup ni almost 1.5, labda nishinde Tatu Mzuka.




Thubutu. Tena wale bora sisi ujue. Wale maisha yao ni kudanga kudanga. Hata laki 2 ukimshika unakula mzigoHahaha, kuna style alitaka kujifanya yuko daraja la juu. Yuko kwenye video za Bongo Flavor, kwa hiyo labda kuna watu wanafika.
Fruit ana nyodooo ila alikutanaga na mbabe wake. Kuna siku aliitwa na mshkaji wangu Tips. Akasema gari haina mafuta atumiwe hela. Sasa alikua na 30k kwenye simu akamwambia nakutumia hii ukifika ntakuongezea. Fruit akairudisha ile hela akasema haitoshi.Kumbe video za bongo flava zinaongeza thamani....sio Fruit huyo?


. Kaka akasema sawaa. Baada ya kama masaa mawili fruit akaja. Akaja kwenye meza kusalimia akamuita yule kaka pembeni eti amsamehe kuna mtu alikua anatumia simu yake ndo alirudisha ile hela. Alijua akirudisha ataongezewa kumbe mwenzie mtoto wa mjini pia 

Hivi unaweza kufanya conversation yoyote ya maana na Fruit? Maanake kutoka na mtu sio kugegeda tu.Fruit ana nyodooo ila alikutanaga na mbabe wake. Kuna siku aliitwa na mshkaji wangu Tips. Akasema gari haina mafuta atumiwe hela. Sasa alikua na 30k kwenye simu akamwambia nakutumia hii ukifika ntakuongezea. Fruit akairudisha ile hela akasema haitoshi.. Kaka akasema sawaa. Baada ya kama masaa mawili fruit akaja. Akaja kwenye meza kusalimia akamuita yule kaka pembeni eti amsamehe kuna mtu alikua anatumia simu yake ndo alirudisha ile hela. Alijua akirudisha ataongezewa kumbe mwenzie mtoto wa mjini pia
![]()
Alitaka akamgegede tu. Sasa wangeongea nini unadhani.Hivi unaweza kufanya conversation yoyote ya maana na Fruit? Maanake kutoka na mtu sio kugegeda tu.



.Sijawahi kukaa nae. Na ikitokea siku nikikaa nae sioni cha kuongea mi na yeye.Simjui ndio maana nimeuliza mliokaa nae
Thubutu. Tena wale bora sisi ujue. Wale maisha yao ni kudanga kudanga. Hata laki 2 ukimshika unakula mzigo
Ukanunua ukauza mechi. KapimeNilimkaushia tu, baadae alinitafuta analia njaa, anataka 300 one night mjini.
Nikachomoa, mpaka tukaja kufika bei ya ajabu Sana.
Hivi unaweza kufanya conversation yoyote ya maana na Fruit? Maanake kutoka na mtu sio kugegeda tu.
Ukanunua ukauza mechi. Kapime
Ukioa ndo unadangwa vizuri sasaMkuu kumbe bado hujaoa badala yake unadangwa?
Halafu ulipie 2m! Dunia ina maajabu sana.Mmenihangaisha sana na hili jina, eti Fruit!
Wazembe, wenzao wanaofanya hizi kazi kama business wameinvest kichwani, mpira mnaongea, siasa, uchumi, burudani.
Sasa ukae na mtu 0 kichwani, muda wote yuko insta masaa 3 tu ni issue.