Bado wanaume wa style hii wapo?

Bado wanaume wa style hii wapo?

Habari wakuu,

Naomba tu kujuzwa, bado kuna wanaume ambao wanapenda mpaka wanalia kabisa?
Wapo na wataendelea kuwepo,kulia yoyote yule yakimfika au kimgusa kwenyewe analia,huenda kwa furaha
au kwa dhiki...
 
Labda nikipatwa na msiba mzito lkn siwezi kumlilia mwanamke aisee...ni aibu kwa moran.
 
kulia kwa namna gani?

either amefiwa/ amepigwa/ ameumia / amesalitiwa au amefeli mtihani?
 
wapo,ila kuna ambao wanalia kwa kila msichana wanaomtaka maana ndiyo style yao ya utongozaji. akishakupata anahamishia kilio kwa demu mwingine.
take care.
 
Habari wakuu,

Naomba tu kujuzwa, bado kuna wanaume ambao wanapenda mpaka wanalia kabisa?
Hua tunalia kwa kuigiza ili kupata papuchi au kusamehewa kama umefumwa na msg za mchepuko au live live kabsa.
Hua hatulii kumaanisha.
Vicks hua pia inahusika mkuu
 
Habari wakuu,

Naomba tu kujuzwa, bado kuna wanaume ambao wanapenda mpaka wanalia kabisa?
Hiii tupo mbona sema tambua kuwa wote wanaume tunalia provided uwe umepatwa na kifaa ambacho unahisi ukikipoteza hutakuja kukipata tena kutokana labda na income status yako au appearance
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom