Bado unatoka siku za sikukuu

Bado unatoka siku za sikukuu

The ice breaker

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2023
Posts
1,119
Reaction score
2,427
Bado na wewe siku ya sikukuu , unatoka kama mtoto , na una demand nguo mpya kabisa au umeacha hayo mambo?

Mimi nipo kazini
 
Ndio.

Siku kama hizi sehemu zenye makutano ya watu lina vibe lake.

Na ambao hatujaoa, Ukizubaa tu unakuta kataa ndoa washatoka na mpenzi wako 😀

Hapa nimetoka kuagana na beib, nimepitia sehemu napiga bia 2 huyo kulala kabla ya kesho
 
Unatafuta pesa za Nini?? Maisha mafupi haya shaur yako
 
Back
Top Bottom