mwanamke kutongoza si umalaya na wala siamini hivyo......nachoamini mimi ni hiki mwanamke kutongoza ni kutokua na soni
Japokua sijaelewa hiyo picha hapo ina uhusiano gani na mwanamke kutongoza
Wadada kutongoza ni kawaida wengi wao awapendi kutongoza wanaume wenye maneno mengi.ukiwa smart boy mbona hayo mambo ya kawaida sana kutokewa na mabinti.
ina maana mr gozo tuseme hao wote wa 4 walivyo kutongoza ndio uliwakubalia na ku do nao wote mpaka uamin bikira ni wawili au kuna njia gani ulitumia mpaka uwajuwe? kama ni hvy huenda we mwenyewe malaya jifunnze kusema H.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.