Bado unaamini mwanamke akitongoza ni malaya ?

Bado unaamini mwanamke akitongoza ni malaya ?

Apana, mimi nimetangozwa na zaidi ya wanawake 4 na 2 walikua bikila.
 
ina maana hizo sura zilizomo hapo zinahalalisha mwanamke kutongoza ama?
kwamba wasitegemee kutongozwa kama wana sura zinazofanana na hizo ama?
 
Inategemea na staili atakayokutongozea, we mwenyewe utamsoma tuu huyu ndiyo ama siyo?
akili kum-kichwa kaka zangu!!
 
Yeyote anayetongoza ni malaya, haijalishi ni Mwanamme au Mwanamke.
 
Inategemea, kwani baadhi ya wanaume wanaotongoza pia ni malaya. Ila sijaelewa uhusiano wa picha za hao wanawake na mada.
 
mwanamke kutongoza si umalaya na wala siamini hivyo......nachoamini mimi ni hiki mwanamke kutongoza ni kutokua na soni
Japokua sijaelewa hiyo picha hapo ina uhusiano gani na mwanamke kutongoza
 
Wadada kutongoza ni kawaida wengi wao awapendi kutongoza wanaume wenye maneno mengi.ukiwa smart boy mbona hayo mambo ya kawaida sana kutokewa na mabinti.
 
ina maana mr gozo tuseme hao wote wa 4 walivyo kutongoza ndio uliwakubalia na ku do nao wote mpaka uamin bikira ni wawili au kuna njia gani ulitumia mpaka uwajuwe? kama ni hvy huenda we mwenyewe malaya jifunnze kusema H.
 
Back
Top Bottom