mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,723
- 11,934
Watu wanataka ZUNGU awe spika, ukiacha, Umasikini,Ujinga na Maradhi tatizo lingine moja wapo linalotukumba Watanzania kuwa sisi ni watu wasahaulifu SANA.
Ila hawa UVCCM wangekuwaga wako serious kuipinga serikali inayoongozwa na chama chao kwenye mambo mbalimbali
Mfano kupanda kwa gharama za umeme, tozo za miamala pamoja na mfumko wa bei za bidhaa mtaani kama wanavyotumia nguvu nyingi kwa Job nchi hii tungekuwa mbali sana.
In short CCM hawana mbinu tena.
Ila hawa UVCCM wangekuwaga wako serious kuipinga serikali inayoongozwa na chama chao kwenye mambo mbalimbali
Mfano kupanda kwa gharama za umeme, tozo za miamala pamoja na mfumko wa bei za bidhaa mtaani kama wanavyotumia nguvu nyingi kwa Job nchi hii tungekuwa mbali sana.
In short CCM hawana mbinu tena.