Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,085
- 16,064
Wakuu,nna majukum mazito ambayo yanapelekea nichungulie sana pesa.
Na ukizingatia uchum umeyumba.
Tatzo ni kwamba bint niliyenaye mana niliamua nifanye chaguo kat ya wale kadhaa
Huyu bint ana vigezo vya kuumbika ila AKILI HANA,..na shule hana
Upembuz yakinifu ulimweka huyu na mapunguf yake lakin aliwazid wenzie
Tatzo AKILI HANA,,,anaweza ngangania kitu tena cha matumiz ya pesa hata kama huna na anajua huna.
Kaul yake hii inanikera sana
"Kwan tareh si ndo hiz"
Anamaanisha mshahara...yaan yeye anaupangia matumiz mshahara wangu..
Hata ukimkanya hii kaul huwa anairudia sana.
Hii inanipelekea niwakumbuke sana ma x
Na NMEAMIN KWEL KUISH NA MTU AMBAE HAMJAZALIWA PA1 NI NGUM SANA
Sjui wenzangu mnawezaje kudeal na changamoto...hapo sijamuoa bado
Na ukizingatia uchum umeyumba.
Tatzo ni kwamba bint niliyenaye mana niliamua nifanye chaguo kat ya wale kadhaa
Huyu bint ana vigezo vya kuumbika ila AKILI HANA,..na shule hana
Upembuz yakinifu ulimweka huyu na mapunguf yake lakin aliwazid wenzie
Tatzo AKILI HANA,,,anaweza ngangania kitu tena cha matumiz ya pesa hata kama huna na anajua huna.
Kaul yake hii inanikera sana
"Kwan tareh si ndo hiz"
Anamaanisha mshahara...yaan yeye anaupangia matumiz mshahara wangu..
Hata ukimkanya hii kaul huwa anairudia sana.
Hii inanipelekea niwakumbuke sana ma x
Na NMEAMIN KWEL KUISH NA MTU AMBAE HAMJAZALIWA PA1 NI NGUM SANA
Sjui wenzangu mnawezaje kudeal na changamoto...hapo sijamuoa bado