Kwani tarehe si ndo hizi , (ndoa sio ajira)Na ujue hata wewe kuna vitu vinamkera ila anavumilia tu ila hawezi kuwaza mambo ya waliozaliwa pamoja........we ushaanza kuwaza dada zako
Yuko kimaslai huyo piga chiniWakuu,nna majukum mazito ambayo yanapelekea nichungulie sana pesa.
Na ukizingatia uchum umeyumba.
Tatzo ni kwamba bint niliyenaye mana niliamua nifanye chaguo kat ya wale kadhaa
Huyu bint ana vigezo vya kuumbika ila AKILI HANA,..na shule hana
Upembuz yakinifu ulimweka huyu na mapunguf yake lakin aliwazid wenzie
Tatzo AKILI HANA,,,anaweza ngangania kitu tena cha matumiz ya pesa hata kama huna na anajua huna.
Kaul yake hii inanikera sana
"Kwan tareh si ndo hiz"
Anamaanisha mshahara...yaan yeye anaupangia matumiz mshahara wangu..
Hata ukimkanya hii kaul huwa anairudia sana.
Hii inanipelekea niwakumbuke sana ma x
Na NMEAMIN KWEL KUISH NA MTU AMBAE HAMJAZALIWA PA1 NI NGUM SANA
Sjui wenzangu mnawezaje kudeal na changamoto...hapo sijamuoa bado
Zimebadilika kweli hakuna mshamba wa qma siku hizi (wameamua kuzishusha thamani wao wenyewe)Acha tuu ..wadada wengne hawaelew,wanahis hiz ni zama zilezile
Una mapungufu makubwa adi nakuhurumia.....wife material aje kwako afanye usafi, akupikie, akufulie, ajibebeshe ata vimboga na matunda, yeye akuombe ata ka lotion ka efu20 upige tarehe weeeee adi akulumbushe kwan tar si ndo izi baby???? Hahahhaaaa oa dada zako usimchoshe mtoto wa watuKwani tarehe si ndo hizi , (ndoa sio ajira)
Kwa hiyo yeye umemfanya mchepuko halafu ako kadangaji kalikokufanya mpaka ukaleta huu uzi hapa ndio unakaona kamaana hadi unataka kukaoa!?Yale ni makandokando kila mwanaume huwa nayo
Dah!.. hata kama.. hyo kusema tareh ndio hizi haijakaa poa kabisa. Bora angekua anasemea pesa yake, Yani asipangiwe.Na ujue hata wewe kuna vitu vinamkera ila anavumilia tu ila hawezi kuwaza mambo ya waliozaliwa pamoja........we ushaanza kuwaza dada zako