Dinnah
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 791
- 1,058
Habari zenu wakuu bado natafuta kazi nina uzoefu wa kazi zifuatazo duka la dawa nina cheti cha addo, duka la kawaida,M~pesa,kazi ya mgahawa isiyo ya kutembea kutafuta wateja,naweza kupika,kuhudumia na kuwa cashier,nitafanya yoyote itakayo patikana kati ya Hizo,aliye serious,naishi Mbagala.