Wadau tukiangalia garama zilizotumika kujenga jengo la TANESCO....
Garama za kulibomoa jengo la TANESCO....
Garama za kuhamisha thamani zote toka kwenye jengo...
Garama za kujenga jengo jingine...
Ukiangalia vyote kwa makini ni kodi za watanzania. Huku wanafunz wanakosa mikopo, barabara mbovu, dawa mahispitalin hakuna na bado vijana hawana ajira. Lkn hii ndo Tanzania ya viwanda...