Kipenzi Chao
Member
- Oct 12, 2010
- 99
- 4
Mimi binafsi nampongeza sana Dr. Slaa na CHADEMA kwa uamuzi wao wa kuwania uraisi, maana kwa kufanya hivyo, wameweza kutangaza chama na kuwanadi wabunge na madiwani wetu kwa mafanikio makubwa sana...! Mimi hadi hatua hii nampongeza sana...! Please Dr. Slaa, Thanks a lot, and God bless you...! This is a very big step ahead...!