Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 17,533
- 32,756
sasa mkuu huyo MOSSAD auongoze dhidi ya CIA huku wenyewe huwa wanapewa msaada na hao CIATena huyo Marekani kapanda mwaka huu hadi namba mbili, alishika nafasi ya nne. ISI ya Pakistan akiongoza, akafuatia RAW ya India, akaja MOSSAD ya Israel ndiyo ikaja CIA.
Wanaume wa kazi hawana tambo za media wao ni kimyakimya
Pengine kuna mashambulizi mengi ya wamarekani yameshindikana sababi ya intelegensia yao, kua bora haina maana kua huwezi guswa kabisaNa mimi nilikua nashaangaa, hiyo Pakistan ina nini cha zaidi? Technolojia anampita Marekani? Mbona kuna oparations zingine za kijasusi hua zinafanywa na Marekani ndani ya Pakistani na wenyewe hawajui, wakija kushtuka wenzao washamliza mission yao
Ni kweli kabisa mkuuPengine kuna mashambulizi mengi ya wamarekani yameshindikana sababi ya intelegensia yao, kua bora haina maana kua huwezi guswa kabisa
Hata NATO nao wanayo, mengi tu lakini bado wanamwogopa. Urusi ilianza kuogopwa hata kabla ya kumiliki silaha za nyuklia, Adolf Hitler alisema kwamba ni hatari kwa usalama wa Ulaya ndiyo akavamia mwaka 1941.Russian strategic nuclear forces
MKUU KOMBORA MOJA LA SARMAT ICBM LIKITUMWA LONDON LINA KULA NCHI NNE
UK YOTE
UFARANSA HALF
BELGIUM YOTE
HOLLAND YOTE
SASA HAPO LAZIMA MUWEWADOGO
The Sarmat ICBM is one of the six new Russian strategic weapons unveiled by President Vladimir Putin on 1 March 2018.
naaam nikweli " nakubaliana nawewe " kwa hii essay yako russia watakuwa sio watu wazuri aiseePropaganda ina nafasi kubwa sana katika mataifa makubwa. Naam, mada nzuri sana. Ila kiujumla, inaonyesha Russia wako vizuri sana. Maana kuanzishwa kwa NATO kulilenga kuzuia uwezo wa Russia ....kwenye mambo kama hayo. Nchi zaidi ya 20, dhidi ya nchi moja? Kama mtoa mada alivyonena, bila Shaka kuna mengi mno...tusiyoyajua.
duuuuh kweli " CIA " Mossad" m16 ..ni makelele hao ISI ",ni watu hatari aiseeNaomba na mimi nichangie kidogo katika hii mada japo kaujuzi kangu ni kadogo
Tukianza na ISI
Hii inaweza kuwa the best or sio the best in the world kwasababu kuu zifuatazo
Mpaka sasa kwenye medani ya ujasusi sidhani kama kuna scale maalumu inayotumika kutambua nani bingwa na nani sio bingwa kama ilivyokuwa kwenye mpira, uchumi, maendeleo na mambo mengine yenye mizani
Kwa kutumia midhani chache tu unaweza kutambua kuwa world scale bado inayumba
kwa mfano.
kwenye nyanja za teknologia nadhani CIA hainaubishi inaongoza
kwa ukatiri ni FSB
Kwa ufanikishaji bila makele MI6
Kwa kufanikisha kupangua njama za maadui Mossad
Kutokutabirika na kutokuosomeka na wapinzani wake ni ISI
Sasa najikita kidogo kwanini takwimu nyingi zina weka pakistani juu ya hata mossad,cia N.K
Kulingana na kufanikisha, mazingira iliyopo nchi na hata ukubwa wa uchumi na maadui wanayoizunguuka ni ISI inapewa crediti nyingi.
wanasema ISI inatengeme vitu vikuu vitatu kuwashinda maadui na vyo ni unpredictability, ruthlessness and a lack of transparency hhivivitu vimeiwezesha ISI ku triumph in whatever it is tasked to do.
Unpredictability inachangiwa na mfumo wake. Director General always ni military man na ni Lieutenant General from the Pakistan Army. Huoongoza only kwa miaka 3 basi na lazima apishe mwingine ashike nafasi hiyo. Huyu D.G anaongoza division kadhaa amabazo yeye binafsi ndo anazijua the lest hawajuani na hawajui wenzao wako wapi na wanafanya nini. Kingine pakistani ina mchanganyiko wa waarabu na wahidi na wachina kitu kinachosaidia kufanya infiltration. Kikubwa zaidi nikuwa ISI ni part of military institution so unaweza kuona utofauti hapo.
Matukio makuu yanayo ifanya ISI kuogopewa ni uwezowake wa kumplant Abdul Qadeer Khan in Netherland akiwa kama research scientist katika chuo cha Amsterdam kumbe ametumwa kuiba teknolojia ya atomic bomb. Agent wote duniani hawakuweza kung'amua hilo mpaka pale pakistani ilipo test the first atomic bomb CIA walishangazwa sana.
In the year 2008 mwezi wa 11 tarehe 26 walifanikisha Mumbai attacks na kushangaza Indian Int. services.
Kitu kingine kikubwa kinacho wapa sifa ni uwezo waliouonyesha kwa kumficha Osama na Mullah Mohamed Omary for more than decade huku MI6,CIA na Mossad wakishirikiana kuwatafuta. Baada ya muda ISI ilimtoa kafara Osama kwa pesa za kutosha toka CIA.
Kingine kinachofanya western media kuwapa credit ISI ni uwezo wa kutrain terrosist group around the world bila kuacha finger prints zao. Mfano wa magroup hayo ni Lashkar-e-Taiba, Hizbul Mujahideen, Jaish-e-Mohammed, Haqqani network and others.
Kingine kikubwa ni uwezo walioonyesha kipindi cha SOVIET AFGHAN WAR kwakumsaidia mullar omary kuchukua nchi bila US-CIA kujua.
Lastly ISI operate under kivuli cha dini so ningumusana ku-infiltrate.
alaaaa kumbe ""!!WARSAW PACT ILIANZAKUFAA MNAMO MWAKA 1999 BAADA YA CZECH, HUNGARY NA POLAND KUJIUNGA NA NATO NA MWAKA 2004 BULGARIA, ESTONIA, LATVIA, LITHUANIA, ROMANIA AND SLOVAKIA NAO WALIJIUNGA NA NATO.
KUBALANCE POWER,IKAANZISHWA SHANGHAI COOPERATION ORGANIZATION IKIWA NI MABORESHO YA SHANGHAI FIVE.NA KUNA BRICS PIA. SO TOGETHER WANAKUWA NA STRATEGIC DEFENSE AND ECONOMIC BALANCE KU COUNTER NATO
hahaaa " but kazi kwa sasa na tech ni mapacha hauwezi vitenganishasisi hatutaki teknolojia tunaangalia kazi.
sahihi " USA. vuvuzela mnoohivyo basi wao kwa ujuzi uliotajwa hapo wala hawahitaji teknolojia nyiingi sana wanapata kidogo wanachanganya na walivyojaliwa na muumba na mambo yanaenda marekani nao saa nyingine vuvuzela sana.
China yupo ila si namba moja, kumi bora yupo. Tukio moja aliwapi ushindi kwa kishindoHiyo list inatupaje China..wakati imefanikiwa kutungua ma'agents' wa US kama mwenye manati atunguavyo kwerea kwerea kwenye shamba la mtama? ...List inawalakini!
Mkuu,umefafanua vema sanaNaomba na mimi nichangie kidogo katika hii mada japo kaujuzi kangu ni kadogo
Tukianza na ISI
Hii inaweza kuwa the best or sio the best in the world kwasababu kuu zifuatazo
Mpaka sasa kwenye medani ya ujasusi sidhani kama kuna scale maalumu inayotumika kutambua nani bingwa na nani sio bingwa kama ilivyokuwa kwenye mpira, uchumi, maendeleo na mambo mengine yenye mizani
Kwa kutumia midhani chache tu unaweza kutambua kuwa world scale bado inayumba
kwa mfano.
kwenye nyanja za teknologia nadhani CIA hainaubishi inaongoza
kwa ukatiri ni FSB
Kwa ufanikishaji bila makele MI6
Kwa kufanikisha kupangua njama za maadui Mossad
Kutokutabirika na kutokuosomeka na wapinzani wake ni ISI
Sasa najikita kidogo kwanini takwimu nyingi zina weka pakistani juu ya hata mossad,cia N.K
Kulingana na kufanikisha, mazingira iliyopo nchi na hata ukubwa wa uchumi na maadui wanayoizunguuka ni ISI inapewa crediti nyingi.
wanasema ISI inatengeme vitu vikuu vitatu kuwashinda maadui na vyo ni unpredictability, ruthlessness and a lack of transparency hhivivitu vimeiwezesha ISI ku triumph in whatever it is tasked to do.
Unpredictability inachangiwa na mfumo wake. Director General always ni military man na ni Lieutenant General from the Pakistan Army. Huoongoza only kwa miaka 3 basi na lazima apishe mwingine ashike nafasi hiyo. Huyu D.G anaongoza division kadhaa amabazo yeye binafsi ndo anazijua the lest hawajuani na hawajui wenzao wako wapi na wanafanya nini. Kingine pakistani ina mchanganyiko wa waarabu na wahidi na wachina kitu kinachosaidia kufanya infiltration. Kikubwa zaidi nikuwa ISI ni part of military institution so unaweza kuona utofauti hapo.
Matukio makuu yanayo ifanya ISI kuogopewa ni uwezowake wa kumplant Abdul Qadeer Khan in Netherland akiwa kama research scientist katika chuo cha Amsterdam kumbe ametumwa kuiba teknolojia ya atomic bomb. Agent wote duniani hawakuweza kung'amua hilo mpaka pale pakistani ilipo test the first atomic bomb CIA walishangazwa sana.
In the year 2008 mwezi wa 11 tarehe 26 walifanikisha Mumbai attacks na kushangaza Indian Int. services.
Kitu kingine kikubwa kinacho wapa sifa ni uwezo waliouonyesha kwa kumficha Osama na Mullah Mohamed Omary for more than decade huku MI6,CIA na Mossad wakishirikiana kuwatafuta. Baada ya muda ISI ilimtoa kafara Osama kwa pesa za kutosha toka CIA.
Kingine kinachofanya western media kuwapa credit ISI ni uwezo wa kutrain terrosist group around the world bila kuacha finger prints zao. Mfano wa magroup hayo ni Lashkar-e-Taiba, Hizbul Mujahideen, Jaish-e-Mohammed, Haqqani network and others.
Kingine kikubwa ni uwezo walioonyesha kipindi cha SOVIET AFGHAN WAR kwakumsaidia mullar omary kuchukua nchi bila US-CIA kujua.
Lastly ISI operate under kivuli cha dini so ningumusana ku-infiltrate.
Kwa maelezo yako mkuu,inaonyesha huu mchezo ni wa kugeukana sana. Maana hujui mwenzako ana lengo ganiWanasema ISI,ilifanikisha kwa namna Fulani kuangusha superpower mmoja,yaani soviet union,kwa kuprolong vita vya afaghnistan,kisha said akamaliza kwa kushusha being ya Mafuta na hiyo kuvuruga uchumi wa soviet,
Ndo maana sasa Russia hakujidumbukiza mzima mzima Kule Syria kwa kupeleka ground troops,kwa kuhofia habari ya afaghnistan kujirudia.
Na baada ya hapo,ISI,ilitaka kuangusha superpower nyingine,yaani marekani,kwa kuanzisha na kufadhili Taliban,na kuprolong vita vya afaghnistan,hadi waukamue uchumi wa marekani,na hii ndo maana Taliban imeshindikana kupotezwa,sababu inapata misaada ya kiiteligence na silaha,toka Pakistan,na fedha kutoka Saudi Arabia.
Nikweli kabisa hata Trump aliwahi kumshambulia mama Clinton kuwa nyuma ya ISIs kuna picha pia ilionyesha mpaka gari ya kimarekani ford pickup ikiwa migoni imebeba silaha na wapiganaji wa ISISI walikuwa wanashirikiana sana na CIA,has a kipindi soviet union ilipoiingia Afaghnistan,hawa ISI ndo wakipikea fund na silaha toka marekani kisha wanawatrain mujahidina akina bin laden na kuwapa silaha za kupambana na mrusi,kila kitu toka marekani kilipita mikononi mwa ISI,lengo likiwa kumtepetesha mrusi kiuchumi na kijeshi kwa kufanya ukaliaji wake afaghnistan use wa gharama kubwa
Mkuu umemaliza kila kitu hapo, watakaobisha wabishe kivyao tu. ISI ni habari nyingineNaomba na mimi nichangie kidogo katika hii mada japo kaujuzi kangu ni kadogo
Tukianza na ISI
Hii inaweza kuwa the best or sio the best in the world kwasababu kuu zifuatazo
Mpaka sasa kwenye medani ya ujasusi sidhani kama kuna scale maalumu inayotumika kutambua nani bingwa na nani sio bingwa kama ilivyokuwa kwenye mpira, uchumi, maendeleo na mambo mengine yenye mizani
Kwa kutumia midhani chache tu unaweza kutambua kuwa world scale bado inayumba
kwa mfano.
kwenye nyanja za teknologia nadhani CIA hainaubishi inaongoza
kwa ukatiri ni FSB
Kwa ufanikishaji bila makele MI6
Kwa kufanikisha kupangua njama za maadui Mossad
Kutokutabirika na kutokuosomeka na wapinzani wake ni ISI
Sasa najikita kidogo kwanini takwimu nyingi zina weka pakistani juu ya hata mossad,cia N.K
Kulingana na kufanikisha, mazingira iliyopo nchi na hata ukubwa wa uchumi na maadui wanayoizunguuka ni ISI inapewa crediti nyingi.
wanasema ISI inatengeme vitu vikuu vitatu kuwashinda maadui na vyo ni unpredictability, ruthlessness and a lack of transparency hhivivitu vimeiwezesha ISI ku triumph in whatever it is tasked to do.
Unpredictability inachangiwa na mfumo wake. Director General always ni military man na ni Lieutenant General from the Pakistan Army. Huoongoza only kwa miaka 3 basi na lazima apishe mwingine ashike nafasi hiyo. Huyu D.G anaongoza division kadhaa amabazo yeye binafsi ndo anazijua the lest hawajuani na hawajui wenzao wako wapi na wanafanya nini. Kingine pakistani ina mchanganyiko wa waarabu na wahidi na wachina kitu kinachosaidia kufanya infiltration. Kikubwa zaidi nikuwa ISI ni part of military institution so unaweza kuona utofauti hapo.
Matukio makuu yanayo ifanya ISI kuogopewa ni uwezowake wa kumplant Abdul Qadeer Khan in Netherland akiwa kama research scientist katika chuo cha Amsterdam kumbe ametumwa kuiba teknolojia ya atomic bomb. Agent wote duniani hawakuweza kung'amua hilo mpaka pale pakistani ilipo test the first atomic bomb CIA walishangazwa sana.
In the year 2008 mwezi wa 11 tarehe 26 walifanikisha Mumbai attacks na kushangaza Indian Int. services.
Kitu kingine kikubwa kinacho wapa sifa ni uwezo waliouonyesha kwa kumficha Osama na Mullah Mohamed Omary for more than decade huku MI6,CIA na Mossad wakishirikiana kuwatafuta. Baada ya muda ISI ilimtoa kafara Osama kwa pesa za kutosha toka CIA.
Kingine kinachofanya western media kuwapa credit ISI ni uwezo wa kutrain terrosist group around the world bila kuacha finger prints zao. Mfano wa magroup hayo ni Lashkar-e-Taiba, Hizbul Mujahideen, Jaish-e-Mohammed, Haqqani network and others.
Kingine kikubwa ni uwezo walioonyesha kipindi cha SOVIET AFGHAN WAR kwakumsaidia mullar omary kuchukua nchi bila US-CIA kujua.
Lastly ISI operate under kivuli cha dini so ningumusana ku-infiltrate.
Nadhani umekubali mwenyeweIngawa teknolojia inamchango mkubwa kwenye intelligence business hao ISI nimewavulia kofia kwa mission zao walizo zi accomplish wakitumia resource walizokua nazo locally
Mkuu ISI na ISIS ni vitu viwili tofauti. ISI ni majasusi wa Pakistan, ISIS ni kikundi cha wapiganajiNikweli kabisa hata Trump aliwahi kumshambulia mama Clinton kuwa nyuma ya ISIs kuna picha pia ilionyesha mpaka gari ya kimarekani ford pickup ikiwa migoni imebeba silaha na wapiganaji wa IS
Typing error mkuu ukitazama vizuri utaona mwisho wa ISIS niliweka herufi ndogoMkuu ISI na ISIS ni vitu viwili tofauti. ISI ni majasusi wa Pakistan, ISIS ni kikundi cha wapiganaji