Wakati nina 20 yrs na nikiwa sijawahi ku-do. Nilikwenda mkoa na wazazi for a wedding party. duh! nilikutana na demu mmoja nikawa very attracted lakini sikuwa na nguvu za kujaribu hata kumsogelea, kumbe naye alipenda akatafuta jinsi akajongea meza niliyokuwepo. tuka story sana, tukawa very close that very day, tukakubaliana tutafutane, akanipa address maana enzi hizo simu ni za mezani na kwao hawakuwa na simu. Niliporudi dar sikuona nilipoweka address na mpaka leo sijui hata yuko wapi. Siwezi kumsahau kwa kweli labda ningekuwa very happy.