Bado nahitaji samaki SATO up to 400kg/week

Bado nahitaji samaki SATO up to 400kg/week

tengz

New Member
Joined
Jul 14, 2014
Posts
3
Reaction score
0
Habari zenu watanashati.

Urgently nahitaji mtu anaeweza kuniuzia Samaki aina ya Sato kwa bei nzuri awasiliane nami.

Number yangu ni 0787220742. Tafadhali

1. Nahitaji Sato kutoka ziwani Mwanza/ Musoma

2. Nahitaji pia Sato wakufuga walio katika mabwawa hapa hapa Dar es Salaam.

Regards.
 
Unanunua kilo kwa sh ngapi? Na unapatikana wapi?
 
Ina maana Mkuu Wewe umesoma heading tu ukakimbilia kuuliza? Mbona kuna maneno jamaa kasema hapa hapa Dar??

Kwahiyo mtu akikwambia dar basi wewe unajua ni posta au masaki? unafahamu kwamba pemba mnazi nayo ni dsm? ipo zaidi ya 50km kutoka city center...Swali langu lina mantiki unajua wafugaji samaki wa dsm wengi wapo nje ya mji?
 
Kwahiyo mtu akikwambia dar basi wewe unajua ni posta au masaki? unafahamu kwamba pemba mnazi nayo ni dsm? ipo zaidi ya 50km kutoka city center...Swali langu lina mantiki unajua wafugaji samaki wa dsm wengi wapo nje ya mji?
Ngoja tukufundishe namna ya kuuliza wewe Mulugo,

Dar uko maeneo gani? Siyo ulivyouliza eti unapatikana wapi?
 
Kwahiyo mtu akikwambia dar basi wewe unajua ni posta au masaki? unafahamu kwamba pemba mnazi nayo ni dsm? ipo zaidi ya 50km kutoka city center...Swali langu lina mantiki unajua wafugaji samaki wa dsm wengi wapo nje ya mji?

Naamini mtu anayeweza akawa ana uwezo wa ku supply mzigo mkubwa kama huo lazima ajadiliane bei na mnunuzi. Sidhani kama mnunuzi anatakiwa aseme labda kilo elfu 4, bila kujadili vitu kibao...
 
Ngoja tukufundishe namna ya kuuliza wewe Mulugo,

Dar uko maeneo gani? Siyo ulivyouliza eti unapatikana wapi?

Kwa kifupi sipo hapa kwa kubishana na mtu kama wewe unajua kaa na ujuaji wako ila ujumbe wangu umefika,kadri unavyozidi kujibu ndio unavyozidi ku-expose ujinga wako,Hilo swali ulilouliza wewe na mimi majibu yatakuja tofauti? Div 5 mkubwa wewe.
 
Naamini mtu anayeweza akawa ana uwezo wa ku supply mzigo mkubwa kama huo lazima ajadiliane bei na mnunuzi. Sidhani kama mnunuzi anatakiwa aseme labda kilo elfu 4, bila kujadili vitu kibao...

ukiona hivyo ujue hao siyo wafanyabiashara wa samaki, wanaangalia uwezekano wa mtu kati.
 
jamani vilpi tena mbona mnatupiana lugha ambazo si njema
Kwa kifupi sipo hapa kwa kubishana na mtu kama wewe unajua kaa na ujuaji wako ila ujumbe wangu umefika,kadri unavyozidi kujibu ndio unavyozidi ku-expose ujinga wako,Hilo swali ulilouliza wewe na mimi majibu yatakuja tofauti? Div 5 mkubwa wewe.
 
jamani vilpi tena mbona mnatupiana lugha ambazo si njema


Hawa vijana waliokuja dar kwa gari moshi wana tabu sana,yani mtu akisema yupo dar hatakiwi kuulizwa yupo wapi hasa,maana wao wanaelewa dar ni posta kumbe hata pemba mnazi nayo ni dsm ambayo ipo zaidi ya 50km kutoka city centre.
 
Bei gani sasa
Habari zenu watanashati.

Urgently nahitaji mtu anaeweza kuniuzia Samaki aina ya Sato kwa bei nzuri awasiliane nami.

Number yangu ni 0787220742. Tafadhali

1. Nahitaji Sato kutoka ziwani Mwanza/ Musoma

2. Nahitaji pia Sato wakufuga walio katika mabwawa hapa hapa Dar es Salaam.

Regards.
 
Tatizo lako mkuu offer yko ipo chini bei unayotaka ya 6000-6500 hiyo bei ndio ya msoma na bado hujasafirisha na gharama zingine hujaweka.Ongeza pesa watu wakuletee huo mzigo
 
Tatizo lako mkuu offer yko ipo chini bei unayotaka ya 6000-6500 hiyo bei ndio ya msoma na bado hujasafirisha na gharama zingine hujaweka.Ongeza pesa watu wakuletee huo mzigo

Dsm Sato kilo moja sh 9,500/=
 
Back
Top Bottom