Bado Man-U tunamatumaini

Bado Man-U tunamatumaini

Haha hawatoamini, wataishia kusema namna gani pale😁?
Vile manjesta hatuna stress ndogo ndogo
20260221_204047.jpg
 
Msimu huu lengo ni kutwaa ubingwa wa EPL.Yan toka nambari 15 hadi 11 ya 7 na sasa ya nne,tumeonyesha kuwa bado matumaini tunayo.lengo letu red devils ni mafanikwa na hapa EPL hamn timu yenye mafanikio kama sisi.
Gari la mkaa (Man U) Safari moja msituni inayofuata Gereji.
 
Daku ulikula chips nini 😂

Ila Man U kuchukua ubingwa eeh acha nicheke tu 😂
Mashabiki wa man u wamenihamisisha nisikate tamaa ile ndoto yangu ya kuwa tajiri namba moja duniani 😁
 
Back
Top Bottom