Bado kidogo, tunakaribia kufika Sudan

Ujasiri wa kuweka tu jina lako umekushinda itakuwa hayo unayoyaota.
 
CCM imekaa miaka mingapi???
Unadhani tatizo ni hao watu?Magufuli alikuwa mtu mzuri sana,Prof.Kabudi alikuwa mtu mzuri sana,Kitila Mkumbo alikuwa mtu mzuri sana,Humphrey pole alikuwa mtu mzuri sana,lakini hao wooote wanakuwa spoiled na CCM,kweli kabisa Sudani yaweza kuwa njia yetu!

Japo kweli hatuipendi njia hiyo,lakini taratibu tunapelekwa huko kwa lazima,haiwezekani watu wanatumia sambusa za viburudisho vya sh.bilioni moja,wengine wanaambiwa maslahi yao yameboreshwa kupitia barabara,sijui na umeme vijijini, inatia hasiraaaaaa!!!!

We waache waendelee tu,waendeleee tu!!!
Ndo hivo huwezi kufananisha Zimbabwe, Algeria na Sudan na nchi yetu, kwani hao viongozi wa nchi nilizotaja wamekaa muda mrefu sana kwenye nchi zao, vile vile bado wapo wengine ambao wamekaa muda mrefu . hapa hapa africa.
 
Ndio, nasema bado kidogo. Wao waendelee na sisi hayajatuchoma vizuri tutaamka tu.

Inasikitisha. Wao wanasimama kwenye majukwaa wanasema dhahiri Watanzania sio wajinga. Huwa wanafatilia kila kitu na wanahoji kisha wanaamua kukaa kimya. Sio kwamba hawajui wanachofanyiwa. Huu uvumilivu una mwisho. Nawaambia.

Wamemuuwa Akwilina, wakasema mtu alifyatua risasi hewani. Watanzania sio wajinga eti wakubali tu kuwa risasi inakata kona. Kesi wanawapa wakina Mbowe kuwa wamesababisha mauwaji. Sisi sio wajinga. Narudia. Sisi sio wajinga. Siku yenu yaja.
Bado kidogo, tunakaribia Sudan.

Wamewanyamazisha hata waliokuwa wanachambua magazeti asubuhi the likes of Maulid Kitenge na wenzie. Yaani wanataka kusikia habari zao tu za kuwapendeza wao. Wakayafungia magazeti kwa kuandika yale yanayowaudhi wao hata kama ni ukweli. Leo tena nasikia msemaji wao kayapiga bit magazeti kwa kaundika habari za chama cha Zitto namna walivyochambua report ya sieiijii.
Bado kidogo, tunakaribia Sudan.

Wasiojulikana walimpiga Tundu Lissu risasi, wakamteka Azory Gwanda, wakamteka Abdul Nondo, wakamteka Mo Dewji. Hawa wote habari zao mpaka leo ni sintofahamu. Wanaoitwa polisi kazi yao ni kutishia watu watawapiga na kuchakaa. Komandoo wa polisi wa mkoa husika sijui ulikuwepo wakati Mugwai anashambuliwa au umelikuta tu jalada ofisini na wapelelezi wako mmeamua mkae kimya. Fureshi tu. Sisi sio wajinga. We endelea kutisha watu utawachakaza....wakati wewe mwenyewe maisha yamekuchakaza.
Bado kidogo, tunakaribia Sudan.

Kuna yule supika. Yeye anatoa tu matamko. Sijui ndio anaagizwa na mhimili uliojinasibu kuwa umejikita sana chini au ni mihemko yake tu. Lakini ajue, tunafahamu kuwa alikua India anatibiwa akitumia kodi zetu. Inawezekana hajapona vizuri. Sisi sio wajinga. Eti sieijii anamkwamisha Rais, mwenyewe mbona hajasema kama kakwama? Na amekwama wapi?
Sisi Watanzania sio wajinga. Tunaona kabisa anachokitafuta.
Bado kidogo, tunakaribia Sudan.

Koroshow zetu Wahindi walitaka kununua. Wao wakajifanya wanazo pesa. Niwaambie tu. Usumbufu mliotupa hatutaki tena mje kununua koroshow zetu. Bora tuchome wenyewe tuuze kwenye vifuko kama wale vijana wa kwenye mabus tukienda kwa watani zetu kuwasalimia. Bora tuwapelekee na akina nshomile Bukoba nao wajue utamu wa koroshow kuliko usumbufu mliotupa. Hao wanaoitwa kangomba sisi ni wakombozi wetu wakati nyie mkiwa mnakula samosa na chapati za bil 1 na hakuna anayewahoji. Maana wanaofukunyua mnataka wajiuzulu. Kwanini msianze nyie kwanza. Anza wewe kujiuzulu basi. Shubaamit. Sisi sio wajinga.
Bado kidogo, tunakaribia Sudan.

Yapo mengi sana. Bao la mkono, marudio ya uchaguzi Zanzibar, kesi za wabunge wa upinzani. Kununua wabunge, upotevu wa 1.5T, mauwaji ya Kibiti/Rufiji. Yapo mengi. Mengi sana. Naomba niishie hapa kwa leo, ila naendelea kuwakumbusha kuwa sisi sio wajinga. Sisi Watanzania sio wajinga.
Bado kidogo, tunakaribia Sudan.

Mmeyashuhudia yaliyotokea Sudan eeh? Nadhani jibu ni ndio. Basi muda sio rafiki sana. Hakuna aliyedhani Al Bashir angekuwa juu ya mawe hapa unaposoma uzi huu.


Watanzania sisi sio wajinga. Bado kidogo, tunakaribia Sudan.
Keyboard hero.
 
Ningekuwa mie ndio Magufuli, upinzani wa kijinga jinga kama wa sasa ningeufyekelea mbali kabisa.
 
Ndio, nasema bado kidogo. Wao waendelee na sisi hayajatuchoma vizuri tutaamka tu.

Inasikitisha. Wao wanasimama kwenye majukwaa wanasema dhahiri Watanzania sio wajinga. Huwa wanafatilia kila kitu na wanahoji kisha wanaamua kukaa kimya. Sio kwamba hawajui wanachofanyiwa. Huu uvumilivu una mwisho. Nawaambia.

Wamemuuwa Akwilina, wakasema mtu alifyatua risasi hewani. Watanzania sio wajinga eti wakubali tu kuwa risasi inakata kona. Kesi wanawapa wakina Mbowe kuwa wamesababisha mauwaji. Sisi sio wajinga. Narudia. Sisi sio wajinga. Siku yenu yaja.
Bado kidogo, tunakaribia Sudan.

Wamewanyamazisha hata waliokuwa wanachambua magazeti asubuhi the likes of Maulid Kitenge na wenzie. Yaani wanataka kusikia habari zao tu za kuwapendeza wao. Wakayafungia magazeti kwa kuandika yale yanayowaudhi wao hata kama ni ukweli. Leo tena nasikia msemaji wao kayapiga bit magazeti kwa kaundika habari za chama cha Zitto namna walivyochambua report ya sieiijii.
Bado kidogo, tunakaribia Sudan.

Wasiojulikana walimpiga Tundu Lissu risasi, wakamteka Azory Gwanda, wakamteka Abdul Nondo, wakamteka Mo Dewji. Hawa wote habari zao mpaka leo ni sintofahamu. Wanaoitwa polisi kazi yao ni kutishia watu watawapiga na kuchakaa. Komandoo wa polisi wa mkoa husika sijui ulikuwepo wakati Mugwai anashambuliwa au umelikuta tu jalada ofisini na wapelelezi wako mmeamua mkae kimya. Fureshi tu. Sisi sio wajinga. We endelea kutisha watu utawachakaza....wakati wewe mwenyewe maisha yamekuchakaza.
Bado kidogo, tunakaribia Sudan.

Kuna yule supika. Yeye anatoa tu matamko. Sijui ndio anaagizwa na mhimili uliojinasibu kuwa umejikita sana chini au ni mihemko yake tu. Lakini ajue, tunafahamu kuwa alikua India anatibiwa akitumia kodi zetu. Inawezekana hajapona vizuri. Sisi sio wajinga. Eti sieijii anamkwamisha Rais, mwenyewe mbona hajasema kama kakwama? Na amekwama wapi?
Sisi Watanzania sio wajinga. Tunaona kabisa anachokitafuta.
Bado kidogo, tunakaribia Sudan.

Koroshow zetu Wahindi walitaka kununua. Wao wakajifanya wanazo pesa. Niwaambie tu. Usumbufu mliotupa hatutaki tena mje kununua koroshow zetu. Bora tuchome wenyewe tuuze kwenye vifuko kama wale vijana wa kwenye mabus tukienda kwa watani zetu kuwasalimia. Bora tuwapelekee na akina nshomile Bukoba nao wajue utamu wa koroshow kuliko usumbufu mliotupa. Hao wanaoitwa kangomba sisi ni wakombozi wetu wakati nyie mkiwa mnakula samosa na chapati za bil 1 na hakuna anayewahoji. Maana wanaofukunyua mnataka wajiuzulu. Kwanini msianze nyie kwanza. Anza wewe kujiuzulu basi. Shubaamit. Sisi sio wajinga.
Bado kidogo, tunakaribia Sudan.

Yapo mengi sana. Bao la mkono, marudio ya uchaguzi Zanzibar, kesi za wabunge wa upinzani. Kununua wabunge, upotevu wa 1.5T, mauwaji ya Kibiti/Rufiji. Yapo mengi. Mengi sana. Naomba niishie hapa kwa leo, ila naendelea kuwakumbusha kuwa sisi sio wajinga. Sisi Watanzania sio wajinga.
Bado kidogo, tunakaribia Sudan.

Mmeyashuhudia yaliyotokea Sudan eeh? Nadhani jibu ni ndio. Basi muda sio rafiki sana. Hakuna aliyedhani Al Bashir angekuwa juu ya mawe hapa unaposoma uzi huu.


Watanzania sisi sio wajinga. Bado kidogo, tunakaribia Sudan.
Lini sasa?
 
Hakuna kitu kama hicho labda kwenye mitandao, kama tulishindwa kufanya hivyo mwaka jana kwenye hamasa za Mange Kimambi, hata watu mia mbili kujitokeza barabarani hakuna.

Hatuna uthubutu huo!
Omar al bashir alikuwa "mbishi" kiasi cha kutolewa arrest warrant ya ICC na aliogopeka sana na raia wa sudan ila wajua yu wapi saizi?

Uvumilivu wa binadamu una kikomo, kikomo cha uvumilivu wa watanzania kitapofika CCM hamtaamini macho yenu kitachowatokea!
 
Omar al bashir alikuwa "mbishi" kiasi cha kutolewa arrest warrant ya ICC na aliogopeka sana na raia wa sudan ila wajua yu wapi saizi?

Uvumilivu wa binadamu una kikomo, kikomo cha uvumilivu wa watanzania kitapofika CCM hamtaamini macho yenu kitachowatokea!
Mkuu wewe mbona unakuja haraka nani CCM??
 
CCM imekaa miaka mingapi???
Unadhani tatizo ni hao watu?Magufuli alikuwa mtu mzuri sana,Prof.Kabudi alikuwa mtu mzuri sana,Kitila Mkumbo alikuwa mtu mzuri sana,Humphrey pole alikuwa mtu mzuri sana,lakini hao wooote wanakuwa spoiled na CCM,kweli kabisa Sudani yaweza kuwa njia yetu!

Japo kweli hatuipendi njia hiyo,lakini taratibu tunapelekwa huko kwa lazima,haiwezekani watu wanatumia sambusa za viburudisho vya sh.bilioni moja,wengine wanaambiwa maslahi yao yameboreshwa kupitia barabara,sijui na umeme vijijini, inatia hasiraaaaaa!!!!

We waache waendelee tu,waendeleee tu!!!
 
Back
Top Bottom