QasraNet
Member
- Jan 3, 2018
- 38
- 50
Router zenye uwezo mkubwa bei yake ipo juu sana. Sasa nikaanza kufanya research ya kama PC ikiwa na Windows OS ya kawaida kama inaweza kufanya kazi kama Router. Nilihangaika mpaka kuja kupata majibu kuwa kama unataka kutumia PC yako kama Router basi inabidi usasishe (install) OS ambayo ni special for Routers.
Katika hizo OS nikapata (Linux Kernel Based OS):
1. Mikrotik RouterOS x86
2. pfSense OS
Sasa kwakuwa mi ni fan wa Mikrotik kwa muda mrefu, ikanibidi nitembee na RouterOS ambayo nimeizoea na ninaifahamu. Shida ilikuwa PC yangu ina ethernet Port 1 na sio Gigabit port, ni FastEthernet port. Nikahangaika na ChatGPT ananiletea mambo ya kuwa niwe makini kwenye kununua PCI NIC maana nyingi huwa zinakuwa unrecognized. Nikajichinja midhali PC ilikuwepo fresh just haikuwa na SSD, nikaenda kununua SSD (128GB) na Gigabit (PCI) Network Cards 3, Nilinunua Machinga Complex upande wa magari ya Kigamboni (mtumba tested palepale). Usijisumbue kwenda kariakoo hautozipata labda uagize from AliExpress n.k.
So nilivyopata nafasi, nikafunga mzigo kwa maelezo ya video hii. Nilihofia zile card zisingetambulika kiasi nikachukua 2 za intel na moja ya Broadcom lakini zote zimesoma fresh kabisa.
Baada ya hapo mambo yakawa walete.
Don't worry about me showing my local IP addresses, I know what I am doing.
Now ni zaidi ya masaa 12 yamepita tangu mzigo uwe hewani. Powerconsuption iko very low sana unaweza dhani pc ipo off.
Hapo Port niliyoifanya kuwa LAN, inaipa network SWITCH then SWITCH inasambaza unyama. Hiyo Router ya Fiberhome namna ya kutumia kama AP nilitolea maelezo kwenye andiko hili. Sijajaribu kutumia na WiFi Card but naona haina haja since nina AP za kutosha. Na hata umeme wa kuPower Hii Router na Switch nimeutoa humo humo kwenye PC. Waya wa Power wa HDD una Rangi Nyekundu (5V), Nyeusi (Ground), Njano (12V) na Nyeusi (Ground). So switch yangu hiyo ni Gigabit switch ila inahitaji just 5V na hiyo router inataka 12V nikajiongeza.
Kabla ya kufanya hivi, nilikuwa na Routerboard ambayo ipo configured kila kitu, nilichokifanya ikawa ni kuhamisha configurations sioBackup. Baada ya kuhamisha configurations ndo nikaRename Router kuwa jina linalosomeka hapo.
Kwa wauzaji wa WiFi kazi ni kwenu, mi kwangu inafanya kazi fresh.
⚠️ Maelezo yangu sio rafiki kwa mtu asiyejua chochote kwenye upande wa networking. Na mimi hii pc ilikuwa haina kazi ndo nikaipa kazi hii.
Katika hizo OS nikapata (Linux Kernel Based OS):
1. Mikrotik RouterOS x86
2. pfSense OS
Sasa kwakuwa mi ni fan wa Mikrotik kwa muda mrefu, ikanibidi nitembee na RouterOS ambayo nimeizoea na ninaifahamu. Shida ilikuwa PC yangu ina ethernet Port 1 na sio Gigabit port, ni FastEthernet port. Nikahangaika na ChatGPT ananiletea mambo ya kuwa niwe makini kwenye kununua PCI NIC maana nyingi huwa zinakuwa unrecognized. Nikajichinja midhali PC ilikuwepo fresh just haikuwa na SSD, nikaenda kununua SSD (128GB) na Gigabit (PCI) Network Cards 3, Nilinunua Machinga Complex upande wa magari ya Kigamboni (mtumba tested palepale). Usijisumbue kwenda kariakoo hautozipata labda uagize from AliExpress n.k.
So nilivyopata nafasi, nikafunga mzigo kwa maelezo ya video hii. Nilihofia zile card zisingetambulika kiasi nikachukua 2 za intel na moja ya Broadcom lakini zote zimesoma fresh kabisa.
Baada ya hapo mambo yakawa walete.
Don't worry about me showing my local IP addresses, I know what I am doing.
Now ni zaidi ya masaa 12 yamepita tangu mzigo uwe hewani. Powerconsuption iko very low sana unaweza dhani pc ipo off.
Hapo Port niliyoifanya kuwa LAN, inaipa network SWITCH then SWITCH inasambaza unyama. Hiyo Router ya Fiberhome namna ya kutumia kama AP nilitolea maelezo kwenye andiko hili. Sijajaribu kutumia na WiFi Card but naona haina haja since nina AP za kutosha. Na hata umeme wa kuPower Hii Router na Switch nimeutoa humo humo kwenye PC. Waya wa Power wa HDD una Rangi Nyekundu (5V), Nyeusi (Ground), Njano (12V) na Nyeusi (Ground). So switch yangu hiyo ni Gigabit switch ila inahitaji just 5V na hiyo router inataka 12V nikajiongeza.
Kabla ya kufanya hivi, nilikuwa na Routerboard ambayo ipo configured kila kitu, nilichokifanya ikawa ni kuhamisha configurations sio
Kwa wauzaji wa WiFi kazi ni kwenu, mi kwangu inafanya kazi fresh.
⚠️ Maelezo yangu sio rafiki kwa mtu asiyejua chochote kwenye upande wa networking. Na mimi hii pc ilikuwa haina kazi ndo nikaipa kazi hii.