Badiliko la Manoah Kitabia..

hakika huu haya maneno yako ni ushahidi tosha wa kuhusika kwako.
Hebu kanusha kwa ushahidi bhana na utueleze ulimuacchaje na sasa amekuwaje? hapa kuna mkono wako kabisa na ushahidi usio na shaka hupo mamisa.
sai kweli naongea na mwanasheria wangu hapa
 
manoah anapitia kipindi kigumu tumuombeeni wote..Matatizo ya kibuti alichopata toka kwa mimisa (japo anakana) si madogo kama mnavyofikiria.Kama sister cousin wake natoa wito kwa wana chitchat tujitahidi kumfariji huyu kijana.
cc Bishanga mimisa

yani tokea umeaga unaenda kwa wakwe zako haujarudi unataka mie niishije...
 
Last edited by a moderator:
nitonye...sidhan kama penzi ni sababu..ila yy ndo anajua kinachomsumbua..
 
Last edited by a moderator:
Mentor mimi na ww tunaaminiana sn bestito..tatzo uyu stevoh..anaanza umbea umbea
 
Last edited by a moderator:
stevoh..unajihangaisha bure...mambo ya Mentor na familia yake ni mazur tu..wala siwez inglia..
 
Last edited by a moderator:
amu...nisichotaka mie ni lawama juu yangu..aspocoment ni sawa..ila ataisoma msg..ata kimyakimya
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…