Badiliko la Manoah Kitabia..

Badiliko la Manoah Kitabia..

mimisa

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2012
Posts
2,511
Reaction score
1,441
Ndugu wana CC..
napenda kuchukua nafasi hii,kuwaweka wazi kua mimi mimisa sihusiki na mabadiliko ya kitabia na mwenendo wa zilipendwa wangu manoah..
umu ndani kuna minong'ono minong'ono inayonihusisha na tabia shitukizi za my x huyu..na kunitaja taja kua nahusika kwa namna moja ama nyingne..nazipinga kwa moyo wangu wote,akili zangu zote,na kwa matendo yangu yote. Bishanga ..ukwe hauishagi nasikia..napenda ujue kua mm sijahusika na mabadiliko ya mwanao..
copy😡stevoh Paloma sosoliso Kaizer na Mentor mwayaona haya?,
Bishanga, Baba V..na wengine wote
 
Last edited by a moderator:
ushauri wangu kwa Bishanga.. mwanao manoah anataka kukupita dadi wake kwa ile like faza like san.. ni vizuri umwekee spidi gavana kabla hajanaswa mahali au kifanyio chake kufyekelewa mbali na mahazbandi wenye hasira kali..
 
Last edited by a moderator:
sosoliso...mzima ww?..mm sio binti Bishanga sawa?
ushauri wangu kwa Bishanga.. mwanao mimisa anataka kukupita dadi wake kwa ile like faza like san.. ni vizuri umwekee spidi gavana kabla hajanaswa mahali au kifanyio chake kufyekelewa mbali na mahazbandi wenye hasira kali..
 
Last edited by a moderator:
Copy received from: mimisa.
Ila nina wasiwasi wa mwenendo wake kuanza kubadilika baada ya wewe kumuacha na ni badiliko la ghafla
limetokea kwa hiyo
unaweza kua unajua possible za yeye kuwa hivyo...
 
Last edited by a moderator:
Ndugu wana CC..
napenda kuchukua nafasi hii,kuwaweka wazi kua mimi mimisa sihusiki na mabadiliko ya kitabia na mwenendo wa zilipendwa wangu manoah..
umu ndani kuna minong'ono minong'ono inayonihusisha na tabia shitukizi za my x huyu..na kunitaja taja kua nahusika kwa namna moja ama nyingne..nazipinga kwa moyo wangu wote,akili zangu zote,na kwa matendo yangu yote. Bishanga ..ukwe hauishagi nasikia..napenda ujue kua mm sijahusika na mabadiliko ya mwanao..
copy😡stevoh Paloma sosoliso Kaizer na Mentor mwayaona haya?,
Bishanga, Baba V..na wengine wote

Na nimeskia eti ananiwinda baada ya mapinduzi yake kushindwa vibaya.... namsubiri....
 
Last edited by a moderator:
bibie usikate lawama, unahusika maana baada ya kutengana nae ndio tabia zimebadilika, sasa chakujiuliza je wewe ndio umepandikiza hizi tabia kwakwe au alikuwa nazo na ulikuwa unamdhibiti? hebu dadavua...
 
ahaa..kumbe alishindwa?.ila nawe umezidi kukaa madarakani..itisha uchguzi tutakupigia kura tu..
Na nimeskia eti ananiwinda baada ya mapinduzi yake kushindwa vibaya.... namsubiri....
 
aaa wap..nilivomkuta ndivo nilivomuacha..
Copy received from: mimisa.
Ila nina wasiwasi wa mwenendo wake kuanza kubadilika baada ya wewe kumuacha na ni badiliko la ghafla
limetokea kwa hiyo
unaweza kua unajua possible za yeye kuwa hivyo...
 
Last edited by a moderator:
hapana kabanga..pengne alikua kaficha makucha yake alivokua na mm
bibie usikate lawama, unahusika maana baada ya kutengana nae ndio tabia zimebadilika, sasa chakujiuliza je wewe ndio umepandikiza hizi tabia kwakwe au alikuwa nazo na ulikuwa unamdhibiti? hebu dadavua...
 
Last edited by a moderator:
Ndugu wana CC..
napenda kuchukua nafasi hii,kuwaweka wazi kua mimi mimisa sihusiki na mabadiliko ya kitabia na mwenendo wa zilipendwa wangu manoah..
umu ndani kuna minong'ono minong'ono inayonihusisha na tabia shitukizi za my x huyu..na kunitaja taja kua nahusika kwa namna moja ama nyingne..nazipinga kwa moyo wangu wote,akili zangu zote,na kwa matendo yangu yote. Bishanga ..ukwe hauishagi nasikia..napenda ujue kua mm sijahusika na mabadiliko ya mwanao..
copy😡stevoh Paloma sosoliso Kaizer na Mentor mwayaona haya?,
Bishanga, Baba V..na wengine wote


...Te Amor...
 
ushauri wangu kwa Bishanga.. mwanao @manoah anataka kukupita dadi wake kwa ile like faza like san.. ni vizuri umwekee spidi gavana kabla hajanaswa mahali au kifanyio chake kufyekelewa mbali na mahazbandi wenye hasira kali..

Sorry nilikosea mimisa
 
Last edited by a moderator:
Jamani hii couple haipo tena!!! umeshindwa vituko maana manoah na rafiki yake polisi ben tabia zao sawa sawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom