Sana. Sio kina Chai Jaba anacheza na CD tuJamaa alikuwa anaimba sana
Daah. Hawa ndo BASATA wanapaswa kuanzisha TOZO kuwasaidia. Maana hawana pensheni wala kikotooniliwahi kumuona kibaha kweye baa moja inaitwa kitesha anapiga live band,
Na ana sauti tamu sana, ni bahati mbaya sana wengine vipaji vyao haviwafikishi popote, moja ya waimbaji wenye sauti nzuri sana.Jamaa alikuwa anaimba sana
RIP Mwalimu wa WaalimuNini Badi Bakule?
Mwana Masanja tuulize.
Mtu Pesa na nyingine kibao
Siku nikamkuta Sinza kijana wangu anaimba kwa uchungu sana, hakuna aliyeelewa.
Nilikua sina kitu nimechacha kwelikweli.
Nikampa 2000.
Masanja aliniangalia akaangalia hela akaniambia "bro yaani asante sana"
Zamani muziki haukuwa kazi Bali no starehe au kipaji Cha kutumbuiza you unaishia kulipwa viposho na mademu tu wachache walipata nafasi ya kiheuza muziki wakapoga madili kwa kufahamiana na watu....Kama hakufanya la maana enzi zile,ndiyo basi tena,kwa sasa muziki wa dance upo hoi bin taabani.