Badala ya Noti kwanini Serikali isitengeneze Mpesa yake?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Jan 31, 2021
7,204
12,700
Kwanini serikali isiunde mpesa yake ambayo watu watakuwa wanatumiana pesa na kufanya biashara bila makato yoyote. Yaani kama hivi wanavyofanya kwa noti.

Si litakuwa jambo la kimapinduzi sana ikifanya hivyo halafu baada ya muda noti zikaondolewa kwenye mzunguko.
 
Naishukuru sana serikali ya awamu ya sita kwa kuifanya simba kucheza kwa kiwango bora sana leo.

simba nguvu tatu first half
 
Kwanini serikali isiunde mpesa yake ambayo watu watakuwa wanatumiana pesa na kufanya biashara bila makato yoyote. Yaani kama hivi wanavyofanya kwa noti.

Si litakuwa jambo la kimapinduzi sana ikifanya hivyo halafu baada ya muda noti zikaondolewa kwenye mzunguko.
Cryptocurrency itakuja kufanya haya yote. Ni suala la muda tu
 
Kwanini serikali isiunde mpesa yake ambayo watu watakuwa wanatumiana pesa na kufanya biashara bila makato yoyote. Yaani kama hivi wanavyofanya kwa noti.

Si litakuwa jambo la kimapinduzi sana ikifanya hivyo halafu baada ya muda noti zikaondolewa kwenye mzunguko.
Yale makato ya uzalendo tutayapoteza.
 
Back
Top Bottom