OBD_Mwenyewe
Member
- Jan 8, 2018
- 14
- 9
Habari, mimi ni mwanafunzi niliye hitimu kidato cha nne mwaka 2015, kiukweli matokeo yangu hayaridhishi, nilikuwa nataka nikarudie mtihani mwaka huu ili nisafishe cheti, je naruhusiwa?
Pia nataka nikimaliza kurudia mtihani nikasomee uhasibu, kama naruhusiwa, je ni-basic kwenye masomo gani? Naombeni msaada kwa ushauri tu. Asanteni
Pia nataka nikimaliza kurudia mtihani nikasomee uhasibu, kama naruhusiwa, je ni-basic kwenye masomo gani? Naombeni msaada kwa ushauri tu. Asanteni