BACK FROM BAN:Niliwamiss wana Chit Chat!

kule inabidi uwe mpole sana ingawa sa nyingine unatamani kurudisha kombora ila unamchunia tu mhusika na kujifanya kama mjinga vile.

sister,shida kubwa ni definition ya tusi au lugha isiyo faa ni so subjective!
 
Last edited by a moderator:
Rutashubanyuma,
Naona macho ya Invisible yananitumbulia hapa...gusa unate!!!
Kama ingekuwa lengo kufunza wengine,ule utaratibu wa kutangaza BAN ungeendelea!

Siamini kam akweli ulikuwa una-ban. naona unatuzuga tu mpaka p[ale utakapotuelezea kinagaubaga yepi hasa yalikusokomeza kule.......
 
Last edited by a moderator:
ukome sijui kwanini wamekurudisha tena kwani ungesota kama mwenziio Baba V samahani ila karibu tena best
Asiye jua kufa,achungulie kaburi;ndivyo wahenga walituasa!
BAN isikieni redioni tu,ila usiombe yakukute!
Baada ya takribani siku 17 za kusota jela,hatimaye nimefunguliwa{Kwa hisani ya MODS,Lol!}
Nawashukuru kwa kipekee Invisible na timu yake kwa kunitupa jela,kwani kumeniongezea nidhamu!
Nawashukuru marafiki wote wa CC,ambao baadhi walinipigia simu,kunitumia sms na kujumuika kivingine!
NILIWAMISS SANA!!
cacico manoah Ishmael Baba V charminglady Sefet Erickb52 Arushaone AshaDii Ruttashobolwa Free Thinker(KWA SABABU MAALUM) Kipipi byna Chilli Chimbuvu watu8 Madame B sister Rosweeter Radhia Sweety Rutashubanyuma FJM Raia Fulani Beautiful Lady,jinga la falsafa MwanaFalsafa1 Buchanan tedo and all others!
Tulisongeshe kwa pamoja!
MUCH LOVE!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom