pombe kali
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 312
- 614
Mimi ni miongoni wa wale wasiopokea namba ngeni tena kwenye simu yangu nime reject strange calls kama na wewe ni muumini wa hii slogan tupeane maujuzi maana sababu nyingi huwa ni madeni au kutembea na wake za watu sasa kwenye kikao chetu cha wanaume tujadiliane hii changamoto tunaikabili vipi.....nb niambie uko wapi nije nikupe bia kumi..au tuma lipa namba.
Wasalaam
Wasalaam