ENDOSPORES
Member
- Oct 6, 2016
- 6
- 0
.Inaitwa Bsc.Gen So Bsc In Gen......Jiandae kusoma MT&PH,GY&MT,,,pitia prospectus utajua mengi
.Inaitwa Bsc.Gen So Bsc In Gen......Jiandae kusoma MT&PH,GY&MT,,,pitia prospectus utajua mengi
Poa bro EinxKUSOMA MASOMO MA2 KIPAJI HASA KWA CONAS.UNADHANI KUNA KOZI DUNIANI HAINA SOKO LA AJIRA?.NASOMA Bsc-Gen apo apo conas we jipange tu.
Iyo coz wamejaza pepo wengi na capacity ni wa2 8 remainWakuu napenda kuuliza hii kozii iko vp?coz nimeapply third round
Na nikipangiwa ntaenda ku deal nann nikimalizaa na vp soko lake la Ajira

Provided umesoma sayansi combination...unaipiga fresh. Jiandae na wakorofi wa electromagnetism. Ambao wanakwambia we divide by pi so as to beautify our equation....Duh xo mm PGM itanifaa kwel?
Duuuh poa poaa kkProvided umesoma sayansi combination...unaipiga fresh. Jiandae na wakorofi wa electromagnetism. Ambao wanakwambia we divide by pi so as to beautify our equation....
Niko na jamaa zangu wengi walisoma hiyo course wanafanya kazi fresh kwenye sector mbali mbali. Nammoja alinitangulia mwaka mmoja ni pilot Sasa hivi. Ila mimi sikupiga hiyo...Duuuh poa poaa kk
Alikutangulia mwaka saiv ni pilot?how....coz ana dream kama zangNiko na jamaa zangu wengi walisoma hiyo course wanafanya kazi fresh kwenye sector mbali mbali. Nammoja alinitangulia mwaka mmoja ni pilot Sasa hivi. Ila mimi sikupiga hiyo...
Yes alipiga PH and MTAlikutangulia mwaka saiv ni pilot?how....coz ana dream kama zang
Kupitia iyo kozi auYes alipiga PH and MT
Udsm ukisikia PH means physics MT means mathematics. Gy -Geology etc.Kupitia iyo kozi au
Uko nilishakuelewaa kk izo abbreviation tuUdsm ukisikia PH means physics MT means mathematics. Gy -Geology etc.
All i want to know amekuwaje pilot den alikuaa coz moja na ww sema yy alikuwa mbeleeYes alipiga PH and MT
Alipata kazi mamlaka ya usafiri wa anga. Then alienda kufanya kozi za mambo ya u pilotAll i want to know amekuwaje pilot den alikuaa coz moja na ww sema yy alikuwa mbelee
Oooh aapo nimekupataa mkuu....Ndoto yang namm ni kuja kuwa PilotAlipata kazi mamlaka ya usafiri wa anga. Then alienda kufanya kozi za mambo ya u pilot
Kaza buti utafanikiwa mkuu...Oooh aapo nimekupataa mkuu....Ndoto yang namm ni kuja kuwa Pilot
Sawaa sawaa achaa tupambaneeKaza buti utafanikiwa mkuu...
Samahan naomba kuuliza bachelor of science wanasoma masomo ma ngapi???Iko udsm inadiri na maswala ya chemistry