Bachelor Of science in General Udsm

Bachelor Of science in General Udsm

Nassy Muller

Member
Joined
Sep 30, 2016
Posts
85
Reaction score
20
Wakuu napenda kuuliza hii kozii iko vp?coz nimeapply third round
Na nikipangiwa ntaenda ku deal nann nikimalizaa na vp soko lake la Ajira
 
Ila mm Nimesoma PGM nimeonaa nina vigezo vya kusoma ndo nkaijazaa je ipojee
 
Bsc in General Utachukua masomo mawili wengi Huwa wanameja Chemistry (CH) na Microbiology (MC) ila zipo combinations nyingi Km microbiology (MC) Na zoology (ZL) Wildlife science (WS) kwako utachukua masomo mawili ambayo yanaendana Na combination yako km utaweza kuchukua Geology bhas chukua Mkuu ika km kozi ztaongezeka ambazo Mara nyingi utasoma Na wale ambao sio walimu ila wapo CoNAS
 
Mkuu wewe ukovery wrong... ! Labda ulijua ni Bachelor of scince in General Chemistry.. ?!

Au kwa jina jingine ni bachelor of science in chemistry

Huyu jamaa ndiye aliyepatia...!
Bsc in General Utachukua masomo mawili wengi Huwa wanameja Chemistry (CH) na Microbiology (MC) ila zipo combinations nyingi Km microbiology (MC) Na zoology (ZL) Wildlife science (WS) kwako utachukua masomo mawili ambayo yanaendana Na combination yako km utaweza kuchukua Geology bhas chukua Mkuu ika km kozi ztaongezeka ambazo Mara nyingi utasoma Na wale ambao sio walimu ila wapo CoNAS
 
Mkuu Ukweli naweza Kuwa very wrong ila Naomba utambue tu nimesoma CoNAS na hiyo course inatolewa hapo CoNAS zaidi First year nimekaa na Jamaa wa hiyo course na zaidi kwenye chemistry Practical nimefanya na watu wa Bsc in General Yaan mtu unachukua masomo mawili Wengi walikuwa wanapenda Microbiology na Chemistry ikumbukwe sio kila kozi ya microbiology atasoma ni baadhi tu kwa semester Na vivyo hivyo kwa chemistry tena upande wa chemistry Ndio wanasoma sawa Na watu wa education wanaomajor chemistry!!!
 
Mkuu Ukweli naweza Kuwa very wrong ila Naomba utambue tu nimesoma CoNAS na hiyo course inatolewa hapo CoNAS zaidi First year nimekaa na Jamaa wa hiyo course na zaidi kwenye chemistry Practical nimefanya na watu wa Bsc in General Yaan mtu unachukua masomo mawili Wengi walikuwa wanapenda Microbiology na Chemistry ikumbukwe sio kila kozi ya microbiology atasoma ni baadhi tu kwa semester Na vivyo hivyo kwa chemistry tena upande wa chemistry Ndio wanasoma sawa Na watu wa education wanaomajor chemistry!!!
uko sahihi sana mkuu ulichosema ndicho kinahusika.good explanation
 
Wakuu napenda kuuliza hii kozii iko vp?coz nimeapply third round
Na nikipangiwa ntaenda ku deal nann nikimalizaa na vp soko lake la Ajira
HONGERA MDOGO WANGU.Karibia conas utaijua,kuhusu ajira una sehemu nyingi sans soma kwanza sbb gen sc kwa 2 dept'al gpa ni mziki.
 
Mkuu Ukweli naweza Kuwa very wrong ila Naomba utambue tu nimesoma CoNAS na hiyo course inatolewa hapo CoNAS zaidi First year nimekaa na Jamaa wa hiyo course na zaidi kwenye chemistry Practical nimefanya na watu wa Bsc in General Yaan mtu unachukua masomo mawili Wengi walikuwa wanapenda Microbiology na Chemistry ikumbukwe sio kila kozi ya microbiology atasoma ni baadhi tu kwa semester Na vivyo hivyo kwa chemistry tena upande wa chemistry Ndio wanasoma sawa Na watu wa education wanaomajor chemistry!!!
uko sahihi sana mkuu ulichosema ndicho kinahusika.good explanation
Nisaidie mkuu xo iyoo kozi ipojee
mhuri25 ameelezea vzur sana mkuu pata maelezo ake
 
Back
Top Bottom