Bachelor of Medicine or Nursing Makerere

Bachelor of Medicine or Nursing Makerere

nawashukuru sana wakuu kwa maelezo yenu ila uzi huu unatuhusu kwa sasa maana wadogo zetu na hata sisis wenyewe ambao tuna diploma etu zilizokataliwa bongo kuingia vyuo bado tunahitaji kupata link nyingi zaidi ili tujikwamuena huu umangimeza ulioanzishwa sasa
 
vijana kwasasa hakuna cha kiu wala st Joseph cut point Ni moja tu tunaitaji vipanga.
 
Ndani Ya Tanzania yetu chuo chochote utachogusa lazima uwe kipanga ndio TCU watakuchagua
 
Jamani naulizia mwenye uelewa na cutoff za kuingia Makerere University.Nina mdogo wangu ana division III point 16 ACSEE mwaka huu , Chem =E, Bios =E na Phy=S.

Mwenye uelewa nauliza kama anaweza kupata nafasi Makerere na gharama zao zikoje?
Kwa Makerere Uganda, huyo hawezi kupata kwa sababu huwa wanachukua A, B na in rear cases wanaweza kuchukua atleast a C katika somo mojawapo la Biology na Chemistry
 
Back
Top Bottom