Aha! Asante unaweza ukawa unafahamu kiundani zaidi labda hyo course maana me najua inahusu usimamizi wa afya nimejaribu kufadilia ada yake hata sijaionakwa sasa serikal imefokas san na wat wanaosoma science health na engineering so health management itakua nzur kidg
Aha! Asante unaweza ukawa unafahamu kiundani zaidi labda hyo course maana me najua inahusu usimamizi wa afya nimejaribu kufadilia ada yake hata sijaiona
Yani mwaka 2023 unamshauri mwenzako akasome ualimu tena arts? Hata kama humjui fikiria kidogo unapotoa ushauri.Soma hiyo BAED Udsm, Kama una somo la English katika masomo yako ya kufundishia itakuwa bora zaidi.
Nna mtu namjua alisoma ualimu wa arts tokea 2015 mpaka leo ajira hana. Sasa na wewe unataka kwenda kule kule!Asante
Tofauti na hiyo ya mzumbe ningekushauri ukasome Law if at all unankichwa chepesi na ni mtu wa kujituma (hapa naongelea ukimaliza hasa Law school).Jamn nisome course Gani hapo maana sielewi kabsa
acha kumdanganyaNenda mzumbe kasome hiyo ya heath system management utakuja nishukuru badae narudia tena nenda mzumbe kasome hiyo health system management
Wewe jamaa hebu kuwa serious muelekeze Dogo hali halisi hii ajira zake Mara nyingi serikali iikuwa imedeal kwa inservicekwa sasa serikal imefokas san na wat wanaosoma science health na engineering so health management itakua nzur kidg
Ajira kiuhalisia ngumu kwenye faida ni ma nurse ,co waliotoka kazini wanabadilishwa cheo tu na kuwa makatibu wa afya ila serikali haiajiriEeh kwahyo kwenye Ajira ni ngumu Tena