zigi 01
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 323
- 198
Habari, naomba kuelezwa kuhusu ubora wa chuo cha Jordan kwenye kozi ya computer science. Je wapo vizuri kwenye practical na theory? Wana maxingira mazuri ya kujifunzia yaani Lab za computer za kisasa zitakazomfanya mwanafunzi kujifunza vizuri? Napenda nijiunge hapo ila nijiridhishe kwanza na hivi nisijekupotea nikapoteza muda bure
Naomba kutoa shukrani zangu
Naomba kutoa shukrani zangu