Bachelor of architecture- udsm au Environmental engineering ARU

Bachelor of architecture- udsm au Environmental engineering ARU

Artificial Horizon

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2019
Posts
463
Reaction score
1,034
Wakuu ipi ni kozi nzuri kati hizi mbili BArch pale udsm na Environmental engineering ya ARU hasa katika kujiajiri..
Vilevile na changamoto za vyuo vyote, Kama maradhi,taaluma nk.
Natanguliza shukrani..
 
Architecture udsm. Ushauri wa bure.
Naomba niingilie mada tafadhali...nahisi utakuwa unaelewa zaidi yangu kuhusu kuhama chuo...msaada wako tafadhali kaka..mimi nimepangiwa saut round ya kwanza mass communication lakini nikireject inakataa eti wameshaniweka kwenye system sasa msaada wa mawazo kaka je unaweza kuhamia chuo kingine kama IFM lakini coarse tofauti?? Naomba ushauri wako kaka
 
Hadi Quantity Surveying ipo, Geomatics pia ipo. Mhandisi Mzalendo unakwama wapi?
Naona zipo basi zitakua course mpya za juzi juzi kabla university haijawa chuo....
Ni maendeleo naona wameamua kupambana na tawi lake la Ardhi.....
Screenshot_20190910-202359_Chrome.jpeg
 
Hadi Quantity Surveying ipo, Geomatics pia ipo. Mhandisi Mzalendo unakwama wapi?
Kaka vipi msaada tafadhali..nilichaguliwa saut mass communication lakini sijaipenda..nikireject inakataa sasa naomba ushauri ..naweza kuhama kwenda IFM coarse nyingine?
 
Back
Top Bottom