pleo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 3,360
- 2,508
Bro, umefumaniwa Kisha ukaandika habari yenye mkato, nukta, na Aya Kila kimoja kwenye nafasi yake......!Wakuu za majukumu......
Awali ya yote niseme tu kuwa nilishaapa kutotongoza mke wa mtu cozi najua mke wa mtu sumu.