System yao haipo vizuri mdogo wangu walimtumia email kuwa hajamiti diploma requirements sababu haku apload NTA level 4. Ila cha achab kuna wenzake hawakuweka na hawajatumiwa email na pia kwwnye hii orodha hawapo.Kama kuna mtu ambae amemiss diploma qualification atujuze kama profile yake imefngka na kurhs kurkbsha plz
Kama kuna mtu ambae amemiss diploma qualification atujuze kama profile yake imefngka na kurhs kurkbsha plz
thanx jamzai kwa ufafanuz
mimi apa profile imefunguka ila sijui bado shida ni nini
Kama kuna mtu ambae amemiss diploma qualification atujuze kama profile yake imefngka na kurhs kurkbsha plz
je na nyie wenzangu profile zenu zikoje?? zmebadilika???
![]()
Ikiwa hivi maana yake hamna tatizo
je hao walio miss je wametizama kwenye profile zao wamegundua wamekosea nn? Swali kwa missing applicant! Maana NACTE hawajafafanua!!