Tatizo humu ni km kokoro hata mavi linabeba,watu hawajui lolote wanaishia kuropokwa tu,
Mnajua fine art nyie?mnajua designing nyie?
Mnaropokwa tu,ulizeni kwanza ni nn hii,lkn kuna mropokwa mmoja anafananisha fine art na art alosoma lowassa,si lazima kuongea jambo hamjui,
Bro km huyo binti anaweza fine art na ni kipaji chake mpe nafasi asomee,ipo siku utakumbuka maneno yangu,
Unataka asomee unachotaka wewe unahakika ataweza?na angekuwa anaweza unachotaka si angefaulu huko,hebu uwe na akili japo kidogo mkuu,
Mungu kaumba kila mtu na njia yake kufikia mafanikio,ilimradi tu awe kakaa kwenye mstari wake,
Fine art and designing ni UFUNDI KAMILI kwa ma mbumbumbu mjue hili,hii si sanaa kwa maana ya maigizo au kuimba au sanaa zingine,
Nilipo hapa naishi kwa kazi hiyo,
Sijaisomea kwa kiwango kikubwa hivyo lkn Nina kipaji kikubwa sana,hope ningesoma kwa level hyo ningekuwa mbali sana,nimeajiriwa mgodini kwa kazi hyo,ninaendesha familia ya watoto wanne,wawili wapo form five,halafu anatokea mbumbumbu anafananisha ufundi na maigizo,hata km ni maigizo km ndo karama yake atatoka tu,kuna watu wanasomea mambo ya salon na wanamaisha mazuri kuliko walolazimisha masomo yenye jina kubwa ambayo hata hawayawezi,
Fine art ni watu sharp sana vichwani,ulaya na Asia ni watu wanaheshima kubwa sana,
Wajinga wanaidhania ni nyepesi,nikushauri bro km Dada siyo kipaji chake asiende huko maana atashindwa na ataishia kujua kutengeneza batiki tu,lkn km ni kipaji chake msaidie,