Doltyne
JF-Expert Member
- Aug 29, 2011
- 440
- 170
Natafuta baby sitter wa kike atakae kaa na mtoto mdogo wa kike mwenye umri wa miezi sita kuanzia saa moja na nusu asubuhi hadi saa kumi na nusu jioni.
Kazi ipo Dar es salaam, UDSM
Hatofanya kazi yeyote ya ndani, awe amemaliza kidato cha 4 au 6 au zaidi, awe mpenda watoto, muelewa haraka, mstaarabu, msafi na mwenye nidhamu.
Awe na wafadhili wawili.
Mshahara utajadiliwa kwenye usaili.
Kwa maelezo zaidi nipm.
Kazi ipo Dar es salaam, UDSM
Hatofanya kazi yeyote ya ndani, awe amemaliza kidato cha 4 au 6 au zaidi, awe mpenda watoto, muelewa haraka, mstaarabu, msafi na mwenye nidhamu.
Awe na wafadhili wawili.
Mshahara utajadiliwa kwenye usaili.
Kwa maelezo zaidi nipm.