Baby Sitter Wanted

Doltyne

JF-Expert Member
Aug 29, 2011
440
170
Natafuta baby sitter wa kike atakae kaa na mtoto mdogo wa kike mwenye umri wa miezi sita kuanzia saa moja na nusu asubuhi hadi saa kumi na nusu jioni.
Kazi ipo Dar es salaam, UDSM
Hatofanya kazi yeyote ya ndani, awe amemaliza kidato cha 4 au 6 au zaidi, awe mpenda watoto, muelewa haraka, mstaarabu, msafi na mwenye nidhamu.
Awe na wafadhili wawili.
Mshahara utajadiliwa kwenye usaili.

Kwa maelezo zaidi nipm.
 
Natafuta baby sitter wa kike atakae kaa na mtoto mdogo wa kike mwenye umri wa miezi sita kuanzia saa moja na nusu asubuhi hadi saa kumi na nusu jioni.
Kazi ipo Dar es salaam, UDSM
Hatofanya kazi yeyote ya ndani, awe amemaliza kidato cha 4 au 6 au zaidi, awe mpenda watoto, muelewa haraka, mstaarabu, msafi na mwenye nidhamu.
Awe na wafadhili wawili.
Mshahara utajadiliwa kwenye usaili.

Kwa maelezo zaidi nipm.

Ni PM nikuunganishe na bint aliyesomea malezi ya watoto toka Idara ya ustawi wa jamii.
 
Natafuta baby sitter wa kike atakae kaa na mtoto mdogo wa kike mwenye umri wa miezi sita kuanzia saa moja na nusu asubuhi hadi saa kumi na nusu jioni.
Kazi ipo Dar es salaam, UDSM
Hatofanya kazi yeyote ya ndani, awe amemaliza kidato cha 4 au 6 au zaidi, awe mpenda watoto, muelewa haraka, mstaarabu, msafi na mwenye nidhamu.
Awe na wafadhili wawili.
Mshahara utajadiliwa kwenye usaili.

Kwa maelezo zaidi nipm.
Nadhani ulitaka kusema Wadhamini au?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom