Kwani hiyo style bado ipo?
Wamepata sehemu ya kulialia.... bora sisi wazee tunakufa na tai shingoni.Yaani wanaume wa siku hizi bwana! We si ungemuuliza huyo ambae yake imeharibika kwanini imeharibika?
Wamepata sehemu ya kulialia.... bora sisi wazee tunakufa na tai shingoni.
Jiolee mwaya.... hamna waoaji miaka hii. Wavulana wanalialia kama mabinti...:A S 41:Yaani ni tafrani, kila siku ni kulialia tuuuu bila hata sababu za msingi, bora nioe tu nijue moja.
Jiolee mwaya.... hamna waoaji miaka hii. Wavulana wanalialia kama mabinti...:A S 41:
Ha ha haaa wanawake wanaonaga wana hati miliki ya pesa za mwanaume anaemgegeda