Amedhalilishwa vipi, hizo nguo kwa staili ya kuacha matiti nje si kavaa mwenyewe, kwahiyo asingepigwa picha??!!
Hiyo ndio mivao ya siku hizi ya hawa akina dada, kuacha matiti nje, unakuta dm mwingine ana matiti kama ndala lakini na yeye anayaacha nje...!!!!