Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Wasalaam jamani.
Kuna watu ambao mahusiano yao yametawaliwa na
"baby come back/baby please stay" miaka nenda rudi. Kuachana na kurudiana ni jambo la kawaida kwao maana kila mmoja anamjulia mwenzake. Akiondoka mama atabembelezwa atarudi, akitaka kuondoka baba atawekwa sawa ataahirisha. Haijalishi kama mmoja wao au wote wataamua kuanza mahusiano na mtu/watu wengine katika kipindi chao cha mpito, mwisho wa siku mmoja akimgeukia X(pired) wake wanarudiana upya tena jumla.
Nwy. . .swali langu ni hiviii, nini haswa kinachowasukuma watu kwenda na kurudi pale pale walipopakimbia over and over again? True love? Utegemezi/ utumwa wa kihisia? Uchanga kwenye swala zima la mapenzi? Kutokujitambua?
Inawezekana wawili hao wakawa wote hawajitambui? Kila mmoja akawa mtumwa/tegemezi kwa mwenzie kihisia kweli?
NB Missed you sana people. Wale wapenzi wa ZAWADI nipeni support bana, nataka nifanye kweli nitoe kitabu au hata filamu kabisa M'Mungu akijalia.
Kuna watu ambao mahusiano yao yametawaliwa na
"baby come back/baby please stay" miaka nenda rudi. Kuachana na kurudiana ni jambo la kawaida kwao maana kila mmoja anamjulia mwenzake. Akiondoka mama atabembelezwa atarudi, akitaka kuondoka baba atawekwa sawa ataahirisha. Haijalishi kama mmoja wao au wote wataamua kuanza mahusiano na mtu/watu wengine katika kipindi chao cha mpito, mwisho wa siku mmoja akimgeukia X(pired) wake wanarudiana upya tena jumla.
Nwy. . .swali langu ni hiviii, nini haswa kinachowasukuma watu kwenda na kurudi pale pale walipopakimbia over and over again? True love? Utegemezi/ utumwa wa kihisia? Uchanga kwenye swala zima la mapenzi? Kutokujitambua?
Inawezekana wawili hao wakawa wote hawajitambui? Kila mmoja akawa mtumwa/tegemezi kwa mwenzie kihisia kweli?
NB Missed you sana people. Wale wapenzi wa ZAWADI nipeni support bana, nataka nifanye kweli nitoe kitabu au hata filamu kabisa M'Mungu akijalia.