Baby come back. . .

Baby come back. . .

Haaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Ni wewee au?????????????????
 
Lizzy kuna mengi aise yanakukumbusha kwa X wako japo nauita ni ulimbukeni ila hiyo nenda rudi bana ahhh ina mwisho wake
Wengine ni utegemezi ambao unajikuta mtu alikuwa anamtegemea mtu wake kwa kila kitu sasa kuondoka anajiona kuna kitu amekosa
Wengine ni basi tuu hata huko alikoenda kuzunguka anajiona hajafika wala hajafikishwa alipokuwa anataka
Anaona bora afanye mchezo wa abracadabra huenda mambo yakawa sawa ila akirudi anakuta bado no ni ile ile hakuna lililobadilika


Hata mimi sijausoma uzi wake nimestuka kuona ameanzisha uzi nikadhani ni wa zamani!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mara nyingine waweza ona kuwa ulichukua maamuzi ukiwa na hasira, au ulichukua maamuzi kwa ushabiki. Ila, nijuavyo, pale ndo patakuwa pako daima.
 
Nafikiri wengi wanaofanya hivyo wana hulka ya kufikiria kuwa hawa wanaoishi nao either wamepungukiwa kitu fulani au wameshindwa kuwavumilia kwa sababu fulani fulani na hivyo kufikiria kuacha mahusiano na kwenda kuanza maisha mengine na mtu mwingine. Mwisho wa siku wanakuja kugundua kuwa, yule wa mwanzo alikuwa na nafuu zaidi hata kuliko mpya na hivyo inamlazimu kurudi kwenye maskani yake ya mwanzo.

Haya ni matatizo ambayo huwapata watu ambao hawapendi kufikiria au kuvumilia changamoto za ndani ambao pia ni wepesi wa kurubuniwa na watu lakini wana mioyo iliyowazi kujutia makosa na kukumbuka walikotoka. Ila binafsi, mtu akinimwaga, akaanza uhusiano na mtu mwingine, akirudi kwangu abadani asilani, sintamkubali kamwe!
Kuachana na kurudiana itokee mara moja in life. Hiyo yaweza vumilika 'cause we learn through mistakes. But when it happens more than once, i won't tolarate it.
 
wewe hayo maisha ya watu yanakuhusu nini??na umiza kichwa utunge hicho kitabu chako sio kuunga unga sentensi za watu na pima akil yako utumbie ni futi ngapi?

kuna watu mnajua kuvamia watu!
ehhhehehehe yani dah!
haya bana!
ila nimekupa la kimoyomoyo!
 
Hiyo ni kitu ya OLDIES ARE AWALYS GOLD
couple ya hivyo yaweza ikawa hata hawaoani na pengine hata kila mmoja asioe na kuolewa na wao lakini THEY ARE JUST THERE!
AU
mmoja haoi au kuolewa kabisa,lakini ni partner wa mwingine hata iweje
AU
wote wanaingia kwenye ndoa,lakini hao maspouse inakuwa ndo status tu,lakin wao ndo wanakuwa wanandoa kihisia

kimsingi sijui sababu ni nini ila heb nijaribu kuwaza kwa sauti
-UTEGEMEZI WA KIHISIA,ile kuamini na pengine kuiishi imani kuwa raha na furaha ya kimapenzi ipo kwa hao wawili tu ,yani kuna mtu hata uwe kamasutra king au queen bado anaamini kisu ya kugonga mfupa ipo eneo B!
-UHASAMA,ushawahi kukuta watu wanakeep on mahusiano kukomoana?like mi huniachi asee yani we oa au olewa im still there ,u started this lazima ulimalize.utaendelea kuhudumia hapa na huko ulikoamua kwenda!and since mara nying huwa wahusika wa mahusiano hya wanajuan kulia kushoto juu chini,haina swali hiyo
-NDOA ZA KULAZIMISHA,watu wana mahabat yao toka miaka miingi,aidha wazazi au sijui maisha tu wahusika wanajikuta wamelazimishwa kuoa au kuolewa kwingine!,basi wanaendelea kulibeneka tu na mitima yao
-UTEGEMEZI WA KIUCHUMI,x has some dough na nini na ndo ushazoea tena,basi poa tu awe hata na wanawake mia au wanaume 300 we upo tu!si yako yanakunyokea bana!mwe
-UBAZAZI TU WA MWANADAMU,kila kitu poa,kwani kuna anayekudai,ah after all haiishi sio sabuni wala haibanduki,kwa hiyo poa tu!LOL!
well nimewaza tu Lizzy
 
Last edited by a moderator:
Mchumba wangu mtarajiwa Dr Lizzy ulifanikiwa toa kitabu mama?
Embu ngoja kwanza!🫣
Etiii......?😆😆☺️

 Self-published it on Kindle, but I deleted it recently.🙈 Alafu story ikabongomoviwa!😁
 
😊 ulivyoshangaa sasa Lizy kama haiwezekani vile...

Ka ushaidelete basi, wanted to see/read it...
Siumeona nime-blush kama mzungu?? Mshangao ulikua wakukamatwa off guard! 😁😁

Hmmm... ulisomaga nilizotupia humu? Nakumbuka nilikua naweka kwenye kablog kangu pia, let me see, nikipata iliyokamilika I'll share if you really are interested.
 
NB Missed you sana people. Wale wapenzi wa ZAWADI nipeni support bana, nataka nifanye kweli nitoe kitabu au hata filamu kabisa M'Mungu akijalia.

Nitakupigia rafiki,nitakutwangia muda si mrefu rafiki 🤣

Namba zako si ndio zile hujabadili?
 
Back
Top Bottom