Babu zetu walitumia dawa gani kwa wanawake?

SumadaVinci

Senior Member
Dec 27, 2018
161
328
I wonder what kind of JUJU ,our grandfather's used to marry over five wives and live a peacful life.

Nowdays only one wife and a SIDE chick and you will have no peace.🙆‍♂️🙆‍♂️😅
 
i wonder what kind of JUJU ,our grandfather's used to marry over five wives ....and live a peacful life.

Nowdays only one wife and a SIDE chick and you will have no peace.🙆‍♂️🙆‍♂️😅
Ubabe tu.ukichunguza kwa makini utaona wazee wote waliokuwa na wanawake zaidi ya mmoja walikuwa wababe sana.
 
Wanawake walikua hawana elimu wala vipato wala hiari ya kujishughulisha

Ukiwapata sampuli hio miaka hii oa hata 10 uwapelekeshe
 
Maisha yalikua hayahitaji Mambo mengi Kama Sasa hv, leo mkeo anaweza kukuliza kisa jirani ana ndinga wewe unaminyana na konda asubuhi kwenda job.

Akipewa lift mara kadhaa na Kama jirani hana wema na wewe Basi stori utaikuta kwenye uzi wa kula tunda kimasihara, zamani inshu kubwa ilikua ale alale umnunulie vitu vidogovidogo bac hakuna Mambo mengi Kama Sasa ya kua na nyumba Kali na ndinga ya maana mkuu.

Unyagoni nao kule walikua wanapewa pindi atari wakitoka wanajua kua kazi kubwa Ni kuhudumia mume na sio kingine, ukiongeza na FGM alikua mkombozi kweli maana walikua wanaishi Kama hawapo tu wanaona mume akiridhika ndio basi, lakini now days wakitembea vikisuguana na pichu tu alafu huduma yako ikiwa zero umeisha lazima atakua punda wa mtaa Kila mtu anampanda.
 
babu bwana ktk umri wa miaka 27 anawanawake wa4 na watoto 9 ktk ndoa ,baba ktk umri huo huo anawanawake wa2 na watoto 4 kt ndoa ,MIMI MWANAE umri huo huo bado natafuta maisha na sina mpango wa kuoa.
This craz made my day
Haaaahaaaa
 
Aisee jomba umesema kweli
Maisha yalikua hayahitaji Mambo mengi Kama Sasa hv, leo mkeo anaweza kukuliza kisa jirani ana ndinga wewe unaminyana na konda asubuhi kwenda job.

Akipewa lift mara kadhaa na Kama jirani hana wema na wewe Basi stori utaikuta kwenye uzi wa kula tunda kimasihara, zamani inshu kubwa ilikua ale alale umnunulie vitu vidogovidogo bac hakuna Mambo mengi Kama Sasa ya kua na nyumba Kali na ndinga ya maana mkuu.

Unyagoni nao kule walikua wanapewa pindi atari wakitoka wanajua kua kazi kubwa Ni kuhudumia mume na sio kingine, ukiongeza na FGM alikua mkombozi kweli maana walikua wanaishi Kama hawapo tu wanaona mume akiridhika ndio basi, lakini now days wakitembea vikisuguana na pichu tu alafu huduma yako ikiwa zero umeisha lazima atakua punda wa mtaa Kila mtu anampanda.
 
Maisha yalikua hayahitaji Mambo mengi Kama Sasa hv, leo mkeo anaweza kukuliza kisa jirani ana ndinga wewe unaminyana na konda asubuhi kwenda job.

Akipewa lift mara kadhaa na Kama jirani hana wema na wewe Basi stori utaikuta kwenye uzi wa kula tunda kimasihara, zamani inshu kubwa ilikua ale alale umnunulie vitu vidogovidogo bac hakuna Mambo mengi Kama Sasa ya kua na nyumba Kali na ndinga ya maana mkuu.

Unyagoni nao kule walikua wanapewa pindi atari wakitoka wanajua kua kazi kubwa Ni kuhudumia mume na sio kingine, ukiongeza na FGM alikua mkombozi kweli maana walikua wanaishi Kama hawapo tu wanaona mume akiridhika ndio basi, lakini now days wakitembea vikisuguana na pichu tu alafu huduma yako ikiwa zero umeisha lazima atakua punda wa mtaa Kila mtu anampanda.
Hahahaàa we jamaa imemfurahisha,eti Kama jirani Hana wema naww basi utakuta nyuzi jukwaani....Ila ni ukweli mtupu
 
I wonder what kind of JUJU ,our grandfather's used to marry over five wives and live a peacful life.

Nowdays only one wife and a SIDE chick and you will have no peace.
Wanawake wa zamani wengi walikuwa tegemezi hawa wa sasa wengi wanakazi na ni wajuzi sana wa mambo and wanahitaji 50/50 .

Binafsi nashauri vijana wenzangu mwanamke inatakiwa umtongoze kibabe si baby,honey,sweet,love and soon on usitumie maneno kama hayo.

Kama ni mtumishi usionyeshe kuuhitaji mshahara wake Bali mshahara utumike katika majukumu ya familia .

Kama unapesa then usipende kujitutumua sana ishi normal .

Nasisitiza hakuna urafiki between mke na mume .
Mwanamke anapaswa kukuheshimu na kukuogopa kidogo .

Nasisitiza mwanamke anahitaji makofi Kwake ni muhimu sana lakini si kupiga kama jamaa yangu Uchebe na kipigo kisiwe Kikali cha kumdhuru lakini anahitaji sana makofi .

Usiache awe lelemama mkanye na kumkaripia ipasazwo na sometimes hata mbele ya watoto.


Kama ukizingatia yote hapo juu zingatia kumuhudumia vyema .
Usiwe fala kumchapa makofi,kukaripia and then hatoi huduma.

That all.
 
Hahahaàa we jamaa imemfurahisha,eti Kama jirani Hana wema naww basi utakuta nyuzi jukwaani....Ila ni ukweli mtupu
Watu sio wema mzee utasikia, Kuna mke wa jirani angu anataka mtoto na mm, kidume unasapoti kumbe Moto unawakia nyumbani kwako!
 
Watu sio wema mzee utasikia, Kuna mke wa jirani angu anataka mtoto na mm, kidume unasapoti kumbe Moto unawakia nyumbani kwako!
Ni kweli kiongozi...yaan hawa viumbe ukiwaza Sana unaweza ukaishia kuishi na watoto wako Tu. Jana nilitoka DSM nikatulia bmoyo kdg,kwakua nilifika mida ya saa moja ucku ikabd nichukue rum mahali nikaona nitafute sehem nichambe koo kdg na tibia tuwili tutatu...nikaelekezwa sehm panaitwa dunda dunda kufika kuna live band nikaanza kukata maji...pemben kuna mdada mzr Tu. Nikaona bia anailamba wkt anaonekana mwenye kiu,ikabd nimtembezee bia..Kama ujuavyo shetani hakai nyumbani Bali maeneo pendwa nikamjaribu kua Nimefikia lodge flani Kama hutojali baadae ukanipe kampan akasita kdg halafu akajibu co tatzo Sana Ila sitalala maana ni mke wa mtu..nikasema Acha nionje ladha za bmoyo.nikamchakaaaata anaamsha Kwa mumewe na wakati naichangua mumewe alikua anapiga cm balaa.hawa viumbe hawa!!!!!!!!¡!
 
Ni kweli kiongozi...yaan hawa viumbe ukiwaza Sana unaweza ukaishia kuishi na watoto wako Tu. Jana nilitoka DSM nikatulia bmoyo kdg,kwakua nilifika mida ya saa moja ucku ikabd nichukue rum mahali nikaona nitafute sehem nichambe koo kdg na tibia tuwili tutatu...nikaelekezwa sehm panaitwa dunda dunda kufika kuna live band nikaanza kukata maji...pemben kuna mdada mzr Tu. Nikaona bia anailamba wkt anaonekana mwenye kiu,ikabd nimtembezee bia..Kama ujuavyo shetani hakai nyumbani Bali maeneo pendwa nikamjaribu kua Nimefikia lodge flani Kama hutojali baadae ukanipe kampan akasita kdg halafu akajibu co tatzo Sana Ila sitalala maana ni mke wa mtu..nikasema Acha nionje ladha za bmoyo.nikamchakaaaata anaamsha Kwa mumewe na wakati naichangua mumewe alikua anapiga cm balaa.hawa viumbe hawa!!!!!!!!¡!
Mkuu hawa viumbe tunaishi nao ila sio wenzetu Yani cjui nn kinawaponza, ukimtangulizia mkwanja mbele hata Kama na yeye anao atajichanganya tu!
 
Back
Top Bottom